Kama kuna mtu humu analifahamu kampuni lolote ambalo limeshapata Power Purchase Agreement na Tanesco na linatafuta muwekezaji kwa ajili ya kuzalisha umeme wa solar kuanzia 50-200MW anitafute kwa mawasiliano yafuatayo
Email: mathiaslyamunda@femapo.org
Mobile: +255765346970
Wapo wawekezaji ambao...
Wewe ni mmojawapo. Unasababishaje genocide kwa kusimamia sheria ya uhamiaji? Mtoa post amesema tutoe taarifa za wanyarwanda siyo wasukuma au wagogo umeelewa tofauti?
Pia ikumbukwe Mawakili wa Chadema walishiriki kwa kiwango kikubwa kwenye utetezi wa Kesi hii kwahiyo wanajua kiini cha ndani cha Kesi ndio maana hata Mgombea wetu akawa na ujasiri wa kusema akiwa Rais atafuata taratibu husika kuwayoa gerezani. Siyo kwasababu walikuwa watu maarufu ila ni...
Swala hapa watanzania tuliowengi hatukuuamini hatia ya familia ya Babu Seya. Tuliamini kesi yao ilikuwa ya kubambikiza. Wapo wengi wamekuwa convicted kwa Kesi za kubambikiza, kwahiyo issue siyo kusamehe wabakaji, ni kuwaweka huru watu ambao hawakuwa na hatia ya kosa hilo walilohukumiwa nalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.