#COVID19 IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania

Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona.

Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya.

Hadi sasa Mama Samia kwa kipindi chake Cha miezi mitano ameshakopa zaidi ya Trillion 4, ni kama wastani wa Trillion 1 kila mwezi.

Hii speed ikiendelea hivi kuna hatihati ya kuja ku-double deni lililopo sawa. Maana kama kila mwezi ni Kama wastani wa Trillion 1 basi kwa miaka mitano inaweza kuwa Trillion 60. Sishauri tufike huko.

Ni muhimu tuweke hizi rekodi sawa ili Deni la taifa likifika zaidi ya Trillion 100 tusianze kutafuta mchawi.

-----
September 7, 2021

The COVID-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.

The IMF approved US$567.25 million in emergency financial assistance under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument to support the authorities’ efforts in responding to the pandemic by addressing the urgent health, humanitarian, and economic costs.

The resources are also expected to play a catalytic role in their efforts to mobilize additional support from development partners.

The authorities also commit to strengthening governance and transparency to ensure that the financial resources are efficiently spent on addressing the crisis.

Washington, DC: The Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) today approved a disbursement of SDR132.6 million (US$189.08 million) under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to SDR265.2 million (US$378.17 million) under the Rapid Financing Instrument (RFI), a total of SDR397.8 million (US$567.25 million or 100 percent of quota). This emergency financing will help finance Tanzania’s urgent balance of payment needs stemming from the outbreak of the COVID-19 pandemic.

Tanzania’s economic outlook has deteriorated due to the impact of the COVID-19 pandemic. With the collapse in tourism in the wake of travel restrictions, the economy reportedly decelerated to 4.8 percent growth in 2020, and growth is expected to remain subdued in 2021.Tanzania faces an urgent balance of payment need of about 1.5 percent of GDP as the authorities implement a comprehensive plan to mitigate the effects of the pandemic and preserve macroeconomic stability in the face of a reported third wave of the virus.

The disbursement under the RCF and purchase under the RFI will help finance the interventions needed to mitigate the severe socio-economic impacts of the pandemic and help catalyze support from development partners. The authorities have indicated that they are committed to pursuing economic policies appropriate for addressing the impact of the pandemic and are committed to strengthening coordination and transparency to ensure that RCF and RFI resources are spent on fighting the pandemic. These measures include publishing reports of RCF and RFI resources spent and undertaking a post-crisis audit of all pandemic-related spending.

Following the Executive Board’s discussion, Mr. Bo Li, Deputy Managing Director and Chair, issued the following statement:

"The COVID-19 pandemic has negatively impacted Tanzania’s macroeconomic outlook, and the health and wellbeing of its population. Growth decelerated in 2020 and is expected to remain subdued in 2021, increasing poverty and negatively affecting employment. Tanzania’s risk of external and public debt distress increased to moderate, mainly due to the pandemic’s effect on tourism exports. Tanzania’s macroeconomic outlook hinges on satisfactorily addressing the pandemic, but significant downside risks remain due to uncertainties surrounding the course of the pandemic.

"The authorities are implementing a comprehensive pandemic response plan—Tanzania COVID-19 Socioeconomic Response Plan (TCRP) —to address the fallout of the COVID-19 shock. Tanzania requires urgent financial assistance to implement the plan and avert the severe health, social and economic consequences of a reported third wave of the virus. Emergency support under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument will substantially contribute to filling immediate external financing needs and help catalyze donor support. Temporarily loosening macroeconomic and financial policies will mitigate the pandemic’s adverse impact, by deploying a vaccination campaign, increasing health and social spending, and supporting the private sector. Prioritizing the health response, strengthening coordination and transparency to ensure that funds received are spent on fighting the pandemic, and regularly and transparently reporting epidemiological data will be critical for the plan’s success.

"Maintaining fiscal and debt sustainability, and preserving financial stability, while supporting the economy, will also be important. Closely monitoring the banking system’s health in light of increased banking sector vulnerabilities will be key.

"Once the crisis abates, the authorities appropriately intend to resume implementing reforms to achieve sustainable and inclusive growth. Their broader policy and reform agenda includes fiscal reforms to avoid domestic arrears and pay tax refunds on time, increasing support for education and health spending, and improvements to the business climate."

Kwani johnthebaptist na ile tathmini ya madeni za Luanda huu na ugonjwa wa Corona viz a viz sisi:

https://www.jamiiforums.com/threads...lote-hadi-sasa.1897513/ hivi sasa anasema je?

Au ilikuwa ni ule uvuvuzela tu kama wa akina Jumbe Brown na kina zandrano?

Inapendeza kuwaona wale wale waliokuwa wamewazodoa waliokuwa kule wako hapa leo wakishangilia.

IMG_20210820_061852_470.jpg


Hizo ndiyo zile nyumbu zenyewe sasa.
 
Kukopa muhimu ila mkopo huu karibu Tilioni 1 plus ni WA masharti nafuu na unalenga kukuza uchumi.

Pili utaleta nafuu unadhani kukibana mkanda ni mchezo mkuu.Binafsi nimefurahia Cha msingi tuu tuuelekeze kwenye sekta zalishi
Mkuu unaangalia masharti ama Riba?????
Sharti lililolegezwa hapo ni ushoga lkn hapo hapo ukalazimishiwa chanjo...
 
Mkuu unaangalia masharti ama Riba?????
Sharti lililolegezwa hapo ni ushoga lkn hapo hapo ukalazimishiwa chanjo...
Sasa wewe chanjo imekupa shida gani? Sharti ni kuthibitisha ulivyoathirika na covid na hatua ulizochukua ndio hapo unaona cases lazima uzirekodi plus vifo.

Bahati nzuri hiyo unayodai kulazimishiwa chanjo sio ya kununua ni bure.

Kwanza tumechelewa Sana Kenya,Rwanda na Uganda nk wameshachukua hizo pesa mara mbili mbili.
 
Tzn kuna sehemu zenye uhitaji mkubwa na za maana kuliko hizo habari za huko kwenu Chanika.

Hii ndio shida ya watu kuzaliwa na kukulia Dar.

Kwanza nani kakwambia hiyo ni pesa nyingi?
Miradi mingine ni midogo midogo. Inaweza kujengwa na fedha za ndani.
By the way, sijazaliwa wala kukulia Dar. Nimezaliwa Makiungu Singida. Nimeishi sehemu mbali mbali za nchi hii baada ya hapo.
 
Hizo Tozo za madilu zinaenda wapi??
Kama kila mwizi msaada na mikopo.
Hunaweza kuta hata mishahara ya wafanya kazi tunakopa.
Hii ni Anguko kubwa kwa taifa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ndugu TOZO zinapelekwa kupunguza madeni, kuhusu shule kujengwa kupitia TOZO zetu ni changamacho tu.. hawa ni waizi hawafai.
Wameitaka chanjo sasa inatuchanja kupitia TOZO.
 
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona.

Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya.

Hadi sasa Mama Samia kwa kipindi chake Cha miezi mitano ameshakopa zaidi ya Trillion 4, ni kama wastani wa Trillion 1 kila mwezi.

Hii speed ikiendelea hivi kuna hatihati ya kuja ku-double deni lililopo sawa. Maana kama kila mwezi ni Kama wastani wa Trillion 1 basi kwa miaka mitano inaweza kuwa Trillion 60. Sishauri tufike huko.

Ni muhimu tuweke hizi rekodi sawa ili Deni la taifa likifika zaidi ya Trillion 100 tusianze kutafuta mchawi.

-----
September 7, 2021

The COVID-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.

The IMF approved US$567.25 million in emergency financial assistance under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument to support the authorities’ efforts in responding to the pandemic by addressing the urgent health, humanitarian, and economic costs.

The resources are also expected to play a catalytic role in their efforts to mobilize additional support from development partners.

The authorities also commit to strengthening governance and transparency to ensure that the financial resources are efficiently spent on addressing the crisis.

Washington, DC: The Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) today approved a disbursement of SDR132.6 million (US$189.08 million) under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to SDR265.2 million (US$378.17 million) under the Rapid Financing Instrument (RFI), a total of SDR397.8 million (US$567.25 million or 100 percent of quota). This emergency financing will help finance Tanzania’s urgent balance of payment needs stemming from the outbreak of the COVID-19 pandemic.

Tanzania’s economic outlook has deteriorated due to the impact of the COVID-19 pandemic. With the collapse in tourism in the wake of travel restrictions, the economy reportedly decelerated to 4.8 percent growth in 2020, and growth is expected to remain subdued in 2021.Tanzania faces an urgent balance of payment need of about 1.5 percent of GDP as the authorities implement a comprehensive plan to mitigate the effects of the pandemic and preserve macroeconomic stability in the face of a reported third wave of the virus.

The disbursement under the RCF and purchase under the RFI will help finance the interventions needed to mitigate the severe socio-economic impacts of the pandemic and help catalyze support from development partners. The authorities have indicated that they are committed to pursuing economic policies appropriate for addressing the impact of the pandemic and are committed to strengthening coordination and transparency to ensure that RCF and RFI resources are spent on fighting the pandemic. These measures include publishing reports of RCF and RFI resources spent and undertaking a post-crisis audit of all pandemic-related spending.

Following the Executive Board’s discussion, Mr. Bo Li, Deputy Managing Director and Chair, issued the following statement:

"The COVID-19 pandemic has negatively impacted Tanzania’s macroeconomic outlook, and the health and wellbeing of its population. Growth decelerated in 2020 and is expected to remain subdued in 2021, increasing poverty and negatively affecting employment. Tanzania’s risk of external and public debt distress increased to moderate, mainly due to the pandemic’s effect on tourism exports. Tanzania’s macroeconomic outlook hinges on satisfactorily addressing the pandemic, but significant downside risks remain due to uncertainties surrounding the course of the pandemic.

"The authorities are implementing a comprehensive pandemic response plan—Tanzania COVID-19 Socioeconomic Response Plan (TCRP) —to address the fallout of the COVID-19 shock. Tanzania requires urgent financial assistance to implement the plan and avert the severe health, social and economic consequences of a reported third wave of the virus. Emergency support under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument will substantially contribute to filling immediate external financing needs and help catalyze donor support. Temporarily loosening macroeconomic and financial policies will mitigate the pandemic’s adverse impact, by deploying a vaccination campaign, increasing health and social spending, and supporting the private sector. Prioritizing the health response, strengthening coordination and transparency to ensure that funds received are spent on fighting the pandemic, and regularly and transparently reporting epidemiological data will be critical for the plan’s success.

"Maintaining fiscal and debt sustainability, and preserving financial stability, while supporting the economy, will also be important. Closely monitoring the banking system’s health in light of increased banking sector vulnerabilities will be key.

"Once the crisis abates, the authorities appropriately intend to resume implementing reforms to achieve sustainable and inclusive growth. Their broader policy and reform agenda includes fiscal reforms to avoid domestic arrears and pay tax refunds on time, increasing support for education and health spending, and improvements to the business climate."
Hata sisi wana nchi tunaitengenezea mazingira serikal yetu ikope..

Maana tukiambiwa tuchangie maendeleo yetu through kodi mbali mbali watu tuna pinga na kubeza as if hayo maendelo tutaletewa naa wajomba zetu ....wapo watakaosema mbona kodi tunalipa kodi tunachangia yes lkn vyanzo vyingi sio vya uhakika
Bado tunasafari ndefu ya kuijenga nchi ...
 
Hata sisi wana nchi tunaitengenezea mazingira serikal yetu ikope..

Maana tukiambiwa tuchangie maendeleo yetu through kodi mbali mbali watu tuna pinga na kubeza as if hayo maendelo tutaletewa naa wajomba zetu ....wapo watakaosema mbona kodi tunalipa kodi tunachangia yes lkn vyanzo vyingi sio vya uhakika
Bado tunasafari ndefu ya kuijenga nchi ...
Hakuna nchi inaenda bila mikopo ,never.

Ni vile you no nothing about economics but tatizo kubwa la Africa ni mtaji .
 
Hii nchi ..yani tumekopa wastani wa trilioni 1 kila mwezi na bado tozo zimeongezwa kila sehem sasa pesa zote hizo zinaenda wapi!? Hawa maccm ni kama chuma ulete dawa ni Katiba mpya Ili tuwafurushe madarakani maana wamefeli kila sehem.mama yuko busy na maigizo
Wenye akili wamemsoma anapenda nn wamempa royal tour wao na wanafanya yao huku
 
Hakuna nchi inaenda bila mikopo ,never.

Ni vile you no nothing about economics but tatizo kubwa la Africa ni mtaji .
Zero kabisa, ivi ume elewa nilichokiandika ? Ndugu usipende ku judge kwa mtu usiyemfahamu acha ukanjanja wa kimtandaoni

Hoja yangu ni kuhimiza wanqnchi pia wachangie kodi mbali ambazo zinalenga kuleta chachu ya mmaendeleo nchi
Dunia nzima hakuna nchi ambayo yenyewe ni kukopa tu hata wananchi wake hawachangii kodi
 
Sina shida na kukopa. Nisichopenda ni pale serikali inapokanusha vikali kuwa kuna tatizo fulani hadi kukamata watu wanaotoa taarifa husika halafu baadae mazingira yakibadilika kukubali tatizo lipo na ni kubwa kama hili linalostahili kuombea mkopo mkubwa hivi.

Nachukia sana jinsi Serikali imekuwa inatudharau sana na kutuendesha sisi wenye nchi.
 
Back
Top Bottom