Recent content by mathews makini

  1. M

    Dar: CHADEMA wazungumza na wanahabari kuhusu mauaji, barua ya Msajili na mahabusu wenye majeraha ya risasi

    Makini: hio ndio siasa yetu ilipofikia hakuna mwenye akili hiyo kwa mawazo ya kawaida ila ndiyo hali halisi, yaani unamnunua mtu, unatumia gharama mara mbili halafu unamsaidia kuiba kura ili awe m'bunge, hahahahaaa TANZAGIZA
  2. M

    Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

    Wastaaraabu, sana tu, kila zama ana elim yake
  3. M

    Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

    Nimeomba tu sababu ili uichallange iman naa kuongeza uelewa, ukiuliza ukapata jibu utanielewa, gud night
  4. M

    Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

    Mwanamume anaoa wanaawaake nane!! Mwanamke anaweza kuwa na wanaaume nane?? Why?? Umekariri ustadh kajifunze zaid
  5. M

    Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

    Umedanganywa na jina mimi mzee baba quran imelala ni ustadh mwenzio.
  6. M

    Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

    Soma vizuri hudhuria kila siku quran you will tell me, hao wameambiwa wakae katika utulivu, wakisikiliza na kuwasaidia waume zao kumjua MUNGU.
  7. M

    Hivi "Young" ni sawa na "Yanga"?

    Young Africans ilizaa neno Yanga kutokana na kukosewa na wazawa hatimaye jina Yanga likazaliwa.
  8. M

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Kukejeli imani nyingine na kufanya uchafu hadharani ndio kosa lake hakuna kingine kila mtu na imani yake na ndio mzigo wake, mwache achukuliwe hatua.
  9. M

    Je, CHADEMA ikiamua kumfukuza Lowassa itabaki salama? Tujadili

    Yapo mengi ya kuzungumza zaidi ya kuhama tu cdm kwenda ccm, lowassa namuelewa sana na mh rais pia naamini pia siasa sio uadui lolote linawezekana
Back
Top Bottom