Recent content by mathewa

  1. mathewa

    GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    Mkuu kura zinahosabiwa vituoni sio zinazotangazwa. Mfano uchaguzi wa 2020 jimbo la kahama mgombea wa CCM alipata kura nyingi kuliko idadi ya waliopiga kura. Ndo maana sheria sasa hivi inakataza kubandika matokeo ya kura katika kila kituo
  2. mathewa

    2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Nimejaribu naona inazunguka tu haifungui
  3. mathewa

    2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Nashukuru
  4. mathewa

    2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Hivi fawanews haifanyikazi leo wakui
  5. mathewa

    Serikali ipige marufuku vipindi vya michezo redioni kuanza asubuhi. Kipindi cha michezo ninachozidi robo saa kianze saa moja jioni

    Pia vipindi vya michezo ndo vinavyouza zaidi. Hapo nguvu ya soko ndo imeamua. "The higher the demend the higher the supply" Wamiliki wa radio wanategemea hivyo vipindi ili kulipa mishahara wafanyakazi wao. Vilikuwepo hivyo vipindi lakini havina wasikilizaji. Kuilazimisha virudishwe hakuna wa...
  6. mathewa

    Serikali ipige marufuku vipindi vya michezo redioni kuanza asubuhi. Kipindi cha michezo ninachozidi robo saa kianze saa moja jioni

    mkuu unakwepa tatizo la msingi kabisa. Ambalo ni mfumo wetu wa elimu haumuandai mtu kuwa na maarifa yatakayowezesha kujiri vipindi vya michezo hakuna shida yoyote. Na kwanza vimeanza miaka ya karibuni tu. Kipindi cha vilikuwa hamna na taifa lilikuwa hivi hivi kila mtu asikilize anachopenda
  7. mathewa

    Naangalia haya makabidhiano ya mateka sema Hawa Qasam brigade sio poa

    Ukitaka hamas wavae gwanda, basi na wao waruhusiwe kupata silaha kutoka popote wanapotaka. Israel tangu vita ianze inapata msaada wa silaha kutoka nch mbali mbali. Ila hamas hawapati silaha Kwahiyo kila mtu anatumia mbinu yake kujilinda. Uwanja wa vita hauko sawa
  8. mathewa

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba mnisaidie wimbo wa " victory ceremony paris 2024"
  9. mathewa

    Mwarabu kafunga njia Red Sea, meli zinazungukia Afrika, watawala wa dunia wamekwama

    Mkuu huu ni uchumi wa wapi ukiosomea? Yaani marekani ikiwa na shida ya hela tu I aprint? Unajua madhara ya kuprint hela ovyo kwenye uchumi? Hivi unajua matumizi yoyote ya serikali ya marekani yanapitishwa na bunge? Hukuwa kusikia serikali ya marekani I afungwa kufanya kazi kwa sababu bunge...
  10. mathewa

    Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

    Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi? Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini. Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani.
  11. mathewa

    Usipuuze uwezo wa Medani wa Jeshi na watu wa Israel

    Kabla ya kuingia gaza Israel walikuwa wanajua hamasi wa mtandao wa mahandaki. Kwanini hawakuwqfuata huko huko chini wakawapiga kama kweli wanauwezo huo unao wasifia. Wamekaa kupiga mabomu na kuuwa watu wasio kuwa na hatia.
  12. mathewa

    Je, we Mtanzania kwanini unaichukia sana Hamas?

    Dini ni kitu kibaya kilicholetwa Duniani. Asilimia kubwa wanaoichukia Israel au palestina. Ni kwa sababu ya dini. Ukiweka dini pembeni ukaamua kufuatilia ukweli utajua tatizo liko wapi. Maisha ya kila binadamu yana thamani. Dini isikupofushe ukaona uhai wa binadamu mwingine hauna thamani
  13. mathewa

    Vita ya Tatu ya Dunia ikinukia:- Zijue nchi 31 ambazo hazina jeshi

    Ongeza na Vatikani inayolindwa na italia. Ila polisi wanatoka Uswisi.
  14. mathewa

    Mkutano Mkuu Simba

    Kwenye mbet. Hiyo report iliyosomwa imeishia desemba 2022. Kwahiyo ametoa nusu. Nusu nyingine nia kuanzia januari mpaka mwezi wa 6 . Kwahiyo subiri riport ya mwisho wa mwaka huu ndio utajua m bet ametoa sh ngapi
Back
Top Bottom