Kwani si wanasema taarifa ni mpaka uende kuitoa polisi,hii ni taarifa gani sasa, wataifanyia kazi vipi wakati hujaenda kutoa kule, serikali haifanyi kazi na taarifa za mitandao. Katoe taarifa polisi na ikiwezekana upate na RB kabisa.
Shetani mzima mzima ndo tunataka kumjadili. Daudi kumpenda mke wa alisababisha kupigwa sana na MUNGU,hata Taifa la Israeli lote pia lilipigwa. Wewe unaechangia angalia jinsi unavyochangia yasije kukukuta kutoka Mbinguni. Ni tahadhari tu.
Sijawahi kusikia Zitto akipita mikoani kueneza chama chake hususani mikoa ya Kusini yote. Zitto yuko tayari kweli kukipa chama chake nguvu nchini kote?.. Nadhani kuna watu wanasubiri kufikiwa na Zitto au wachama chake. Naona kama kinajengwa ktk kanda yake tu na hapa Dsm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.