suala la aina ya muungano lirudishwe kwa wananchi kupitia kura ya maoni. hii itasaidia kuepuka mvutano ni kutokana na ukweli kuwa bunge la katiba limegawanyika juu ya hili jambo.
nyie mnaosema kuna mungu mbona hamthibitishi, badala yake mnataka sisi tusioamini kuthibitisha uwepo wake? Thibitisheni kuwa kuna mungu, achaneni na hizo porojo la mleta mada.
unaongozwa na emotion zaidi kuliko uhalisia, kama unadhani sijaelewa topic nieleweshe mbuzi. imani zenu za ki-p.umbavu hizo kuwa kuna mungu ndio zinawapotosha. wewe unaweza kuprove uwepo wa huyo mungu? hakuna ushahidi wowote wa uwepo wa mungu wala kutokuwepo kwake....
Hakika hakuna mungu aliyehai wala aliye kufa. Hakuna ushahidi wowote wa uwepo wa mungu, na hata mleta uzi hakuna sehemu hata moja uliyothibitisha uwepo wa mungu pasipo na shaka, zote ulizoandika ni porojo tu ili kutetea unachokiamini. Aidha, kutokuwepo ushahidi kuwa hakuna mungu (no god)...
Suala la slogani hapa sio la muhimu... Cha muhimu ni ule ujumbe ambao viongozi wote wa vyama wamedhamiria kuufikisha kwa raisi kikwete na serikali anayoiongoza.
Licha ya Ndugai kutumiwa lakini hata uwezo wake ni mdogo sana. Nadhani hata maccm wenzake wanamshangaa kwa maamuzi yake ya ubabbishaji. Kwa hali ya kawaida haiwezekani fujo za namna hiyo zitokee wakati anaongoza yeye tu. Hii inadhihirisha jinsi alivyopungukiwa busara na hekima katika kukiongoza...
Msekwa hana jipya, hakupaswa hata kufungua mdogo wake kutoa maoni aliyoyatoa hapo; asisahau kuwa kipindi chake na kipindi hiki ni tofauti kabisa, watu sasa wana uelewa mkubwa sana jinsi serikali iliyoko madarakani inavyokandamiza demokrasia. Ninamwombea kwa Mungu aishi maisha marefu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.