Recent content by matc

  1. M

    Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

    Natumia Sienta ya 2004, imetokea hizi wiki kadhaa inakua Kama Ina mis hivi. Tumebadli pump, plugs, coil na kusafisha safisha vitu mbalimbali lkn ugonjwa haujaisha. Kuna mtu kaniambia tatzo laweza kuwa gear box, sijamuelewa. Sijui inakuaje
  2. M

    Mishahara mipya kwa walimu na kada ya afya

    Nilichokiona Leo nafikiri sio hiki
  3. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Inabd kupga tu zile namba zao mpk uwapate wakusalimie
  4. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Nimerefresh kiasi kwamba email ya mwsho inbox kwangu imeingia saa 8.42 asubuhi leo
  5. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Nirefresh inbox ya email yangu? Au pale kwenye tangazo
  6. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Nimetuma haya maombi ijumaa usiku, lakini sikuona option ya kupakua wala sijatumiwa email yoyote ili nipate form namba moja. Nimejaribu kupiga zile namba zilizotolewa juzi, Jana na Leo muda wote naambiwa zinatumika na nyingine hazipatikani. Nimecheki kwenye spam msgs hakuna, nikaamua niombe Tena...
  7. M

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Naombeni msaada kupata chuo chochote nachoweza kusoma degree ya kwanza ktk IT online ila nipate na ufadhili
  8. M

    GE2020 Vijana bado wana imani na Magufuli

    Acha kutusemea, sina imani nae hata kidgo
  9. M

    Mwambe: Tusisubiri CCM idhoofike ndio CHADEMA tuonekane imara, tujipange sasa kwa mabadiliko

    Tar 10.12.2019 alisema angeongea na vyombo vya habari, kwani hakuongea? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom