mnaompinga magufuli , kwakweli mungu awarehemu ,mnahitaji awaletee pesa mkononi ndiyo mumukubali, acheni ushabiki jamani , muheshimiwa anapiga kazi sio mchezo, mungu naazidi kumpa maisha marefu, hata kama sitanufaika mm ,bazi wadogo zangu narafiki zangu , watanufaika kwayo.