Ukiwa ccm lazima uwe mjinga mjinga sasa huoni rais anaanza kufanya yale wapinzani tuliyasema tangu zamani? Sera ya ccm ilikuwa kufilisi watu kwa kutumia tra
Atakae msaifia mbowe ni Yule Alie mfunga, maana mbowe ingekuwa kesi ya kawaida angekuwa nje au hata asingefungwa lakini kwakuwa ni manduli wa nchi yetu hii ni shida tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.