Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ule msemo wa kiswahili kuwa nyani haoni kundule unaukweli kwa 100%
Upinzani nchini Tanzania upo hoi kabisa, hatujui hata kama 2025 wataweza kusimamisha wagombea. Maana kiuchumi, kisiasa na kisaikolojia wapo hoi bin taabani.
Sasa wamebaki kuangalia na kukodolea macho ishu wanaCCM kana kwamba zinawasaidia. Mara wanaCcm wamemgeuka hayati JPM mara kuna makundi yatafumuka ndani ya CCM. Hii inawasaidia nini?
Act wazalendo wanachechemea kiduchu afadhali wao. chadema wapo hoi kisiasa, Mwenyekiti yupo Dubai,Makamu wake yupo Belgium na wafuasi na wanachama wapo Kilimanjaro na Dar es Salaam. Kwa mantiki hii hapo kuna chama kweli?
Upinzani nchini Tanzania upo hoi kabisa, hatujui hata kama 2025 wataweza kusimamisha wagombea. Maana kiuchumi, kisiasa na kisaikolojia wapo hoi bin taabani.
Sasa wamebaki kuangalia na kukodolea macho ishu wanaCCM kana kwamba zinawasaidia. Mara wanaCcm wamemgeuka hayati JPM mara kuna makundi yatafumuka ndani ya CCM. Hii inawasaidia nini?
Act wazalendo wanachechemea kiduchu afadhali wao. chadema wapo hoi kisiasa, Mwenyekiti yupo Dubai,Makamu wake yupo Belgium na wafuasi na wanachama wapo Kilimanjaro na Dar es Salaam. Kwa mantiki hii hapo kuna chama kweli?