Ndugu hivi bado hujagundua tu kwamba huyo mwanamke hakufai!! kwa dalili za mwanzo mwanzo ilishagundulika utakuja kujuta sana baadae, endelea kumsikiliza huyo dada nakushauli kwa wema kabisa swala la ndoa na huyo escape kabisa kuanzia leo si tu kwa sababu ya uzazi laa.
Matatizo ya uzazi kwa...
Sielewi kwanini kuna aina mbili tu za kampuni zinzounda hizi chip za device kama computer AMD Intel,
Hapo pamekaa vipi mkuu na ipi ni chaguo zuri kati ya hizo
Nimekuelewa sana sana mkuu ndio maana play boy ana Bamba sana kwa hawa viumbe kuliko hawa wapole wastaarabu cha msingi sio kukalili tyu nikucheza na akili ya kila mmoja wao, mfano unaweza ukawa unampigia simu kila time una invest muda wa kutosha kwake na asijali kbs ukija kunyuti ndo kama...
Umetufanyia mengi tutakukumbuka sana sisi tuliodhulumiwa na kupolwa haki zetu hakika ulisimama nasi
Biashara za ma gendo zilizo dhulum watu
Huku kwetu mkulugenzi na dc wake wanashilikiana kukwepa majukum ww uliweza kumuwajibisha hata mkulugenzi wako! ukatatua migogoro sugu kama ya ardhi na...
Roho mbaya kabisa hakika waafrika niviumbe madhalimu kabisa japo si wote
Sabaya kakosea wapi!! hii story inanikumbusha sana story ya yesu ama nabii issa kuna mengi ya kujifunza hapa mtu alijitoa kwa dhamila na ushupavu kuwatetea watu kupambana na mambo yaliyokua yanadidimiza ustawi na jamii...
Japo na mimi ni mfuasi wa mitano tena ila umeongea kweli mkuu hapo nyuma kidogo hawa akina DSTV sijui kina nani hawakutamani hata kujua kama kuna ligi yetu hapa.
Walidharau pakubwa leo mtu kaja kaitoa gizani ligi yetu tena kaanzia matopeni kwenye risk kubwa kawekeza pakubwa leo ligi...
Giant's pro Electronics niwataalam wenye weledi na uzoefu katika malekebisho ya vifaa vinavyo tumia umeme tunafanya kazi popote tutakapo hitajika na kazi zetu ni za uhakika na uaminifu mkubwa tunalekebisha vifaa vyote vinavyotumika nyumbani officen kanisani miskitini na sehem nyinginezo zote...
Nimekuja kibiashara hapa mjini kahama nikaona si mbaya nifikie kwa jamaa yangu ambaye tunatoka sehemu mmoja anaishi na familia yake hapa hatimaye nimefika amenipokea vizuri nashkuru ukweli yuko vizuri hongera zake mambo si haba kapanga apartiment nzima anausafiri istoshe ni mwajiriwa wa kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.