Recent content by Masumbuko jamal

  1. M

    Mume hanifikishi kisawasawa

    Sister utaanzaje kufanya mambo ya kutoka nje kabla ya kujadiliana naye ni mme wako au hawala?ambaye huwezi kumuambia unayofikiria?acha kufikiria mamba ambayo hayana maana.Ukiwapa watu watakula kweli.
  2. M

    Siku 3 za Kuanza kugomea Kodi ya SIM Cards... July 29, 30 na 31...

    Hivi serikali mnatujali kwa lipi?kweli kodi tunalipa kwa kupitiliza.Lain tulipie kuinunua kod,vocha na 1000?mmetochoka.
  3. M

    John Magufuli: Ninautamani urais!

    Ni rais wa kwenu kwa upande wa ccm ila sisi hatumtaki kabisaaaaaaaaa!bora muandae mwingine hatutaki CCM
  4. M

    CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

    Kwa ufahamu wako mdogo tukufahamishe wenye akili walishahama ccm zile kura ulizoziona za ccm ndio wanachama waliobaki.
Back
Top Bottom