Recent content by Masue 1

  1. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Call Center: 026 216 0350, +255739160350 || Email: ict@ajira.go.tz, malalamiko@ajira.go.tz
  2. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera kwa walio lamba asali Pinacoladee vip umekumbukwa??
  3. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naona wanaanza kutest mitambo kwa watu wa IT.
  4. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kweli mkuu utaratibu pale sio mzuri aixee.
  5. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Lile Baridi pale sio pouwa aixee na Mazingira sio rafik sehemu za kukaa hamna jamaa wanaita huku mara kule ila ipo siku tutaboa.
  6. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Jamaa anaongeaga sana huyo.
  7. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wadau mlio apply Counterfeit Surveillance officer ii (Commerce). Naomba mshare nondo mnazotumia. Asante sana
  8. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Template sio ishu cha muhimu ni kujiandaa na kazi unayoiomba. Kwa experience Application letter hata ya ukiandika kwa mkono unaitwa.
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hamna ishara. ila ukishaweza kuingia oral uaweza kujua database au direct kwa urahisi.
  10. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndio hivyo database kama umefaulu ukakosa nafasi utapangiwa Taasisi yeyote nafasi ikipatikana sio lazma uliyofanya usaili.
  11. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Buhigwe saa hivi pako vizurii ndio kwa Makamu wa rais
  12. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkataba ukiisha umeisha Hamna jipya zaidi ya kupata stahiki zako.
Back
Top Bottom