Majina kweny pdf yana namba lakini sio namba ya Mtihani hiyo namba yako ya Mtihani utaikuta kweny akaunti yako au kweny karatasi ya kusaini kuingia kweny mtihani na kutoka.
NB. Kama umeisahau namba usipanic UTUMISHI watakutajia. Best wishes
Mtihani wa Online huitaji kujua namba cha muhimu tu hapo ni Password na username.
Hata ukisahau password utasaidiwa kuipata UTUMISHI wapo fair. Best wishes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.