Recent content by masterjuly77

  1. masterjuly77

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Huu Uzi Mtamu Sana Aisee. Jamaa Uko Deep. Utakua Ulisomea RUSSIA [emoji28]. Ulete Twitter Tushuke Nao
  2. masterjuly77

    Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

    Nimeona Kama Kipa Wao Yuko Na Sura Utazan U17[emoji23]
  3. masterjuly77

    Hivi watu weusi ni lini tutajitambua tuwe ni watu wa kuigwa hata na watu weupe kutoka nchi za magharibi?

    Shida Iko Hapo. Ukimskiza Peter Tosh, "Equal Rights & Justice, Anasema, Nanukuu " Everyone Wants To Go To Heaven But No One Wants To Die". Sasa Utaendaje Mbinguni Bila Kufa? Wabongo, Blacks, Hatuko Tayari Kutetea Maslahi Yetu Kwa Nguvu Maana Tunaogopa Kupigwa, Kuswekwa Ndani Na Kuuwawa. Sijui...
  4. masterjuly77

    Zuhura Yunus kudai uteuzi wake ulikuwa wa kushtukiza, hakuwa na taarifa ni kweli? Kwanini hakujuzwa?

    Kwa Hiyo Anatupiga Fix? Wabongo Shida Yetu Hatuko Wazi. Ingekuwa Kwa BIDEN, Unamteua Mtu, Unampa Taarifa Anakuambia "I'm Delighted, No Thanks" ... Bongo Sasa
  5. masterjuly77

    Wanawake, kwanini mnavaa nguo za kubana?

    Wanaume Tunapitia Comments Maana Hatujaulizwa Sisi
  6. masterjuly77

    Je, ni muda umefika wa kuwaondolea ile kinga ya kutokushtakiwa?

    Nazan Kwenye KATIBA Ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tz, Ya 1977, RAIS Hashtakiwi. Awe Yuko Madarakani, Au Ashaacha Muda Wake. Ni Suala La Hovyo KABISA. Kama Alivyofanya MAGUFULI, Aliikanyagakanyaga Na Kuipondaponda Alivyotaka Na Hakukuwa Na Wa Kumuuliza, Sembuse Kumwambia Kitu. NCHI Ya Hovyo KBS Hii
  7. masterjuly77

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nimeota Kama Vile Leo Majogoo Tunaloweshwa Kimoja![emoji22][emoji22][emoji22]. Hawa "Blades Sio Kabisa". Tunatakiwa Tutulie Mbayaa. Majeruhi Yooote, Sijui. Vijana Kazeni Buti, Tusifungwe Msimu Huu... Hata Msimu Uliopita, Robertson Ndiye Aliharibu Kwa Kutia Gundi, Akitabiri Kutofungwa! Ndio...
  8. masterjuly77

    Mahusiano yawe yanashake umjue aliyeyaingilia na anakuzidi kila idara

    Hakunaga anayezidi Kila idara! 1. Mwenye pesa, hajui/hawezi kitandani 2. Anayeyaweza Kitandani, hana pesa 3. Anayeyaweza, Hayuko Romantic, very rough! 4. Anayeyaweza, Sio Reasonable! Loving! Hana Elimu, Impatient! 5. .. 6. ... 7. ... Sent using Jamii Forums mobile app
  9. masterjuly77

    Msaada: Njia ya mkojo inatoa usaha, napata maumivu makali wakati wa kukojoa

    Chakula Cha Hamu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. masterjuly77

    Hivi wanawake wanaoandika hovyo wanajielewa kweli?

    Unampa Makavu, Loh Sent using Jamii Forums mobile app
  11. masterjuly77

    Misemo ya Ukimwi!

    Acha Kututisha
  12. masterjuly77

    Watanzania wenzangu acheni unafiki na ujuaji kwenye kila jambo

    Pia serikali zote hamna iliyowahi kujimwambafai kama iii, kwenye tv, radio, magazeti .... Loh
  13. masterjuly77

    Watanzania wenzangu acheni unafiki na ujuaji kwenye kila jambo

    Hapana Mkali, Hii Ni Special Case. Serikali Awamu Ya Hamsa, Naishangaa... Inajisifu sana, lakini, mbona chaguzi hizi huku serikali za Changanyikeni Wamecheza 'Takle From Behind', Still kipenga hakijapulizwa, na no red-card offense? Au ndio walichoambiwa walivyoitwa IKULU? Ahsante
Back
Top Bottom