Watu wa Usalama, wanapaswa kuiishi kanuni ya rafiki mkuu, aliye tayari kuutoa uhai wake kwa ajili yenu. Bahati mbaya hakuna wa aina hiyo kwa sasa katika duniani hii.
Mwanaume au hata mwanamke yeyote uwe na level ya mwisho ya uvumilivu, kifo isiwe ndio level (total failure) yako ya mwisho.
Unaweza ukadakwa na kamalaika kadogo tu kakakubariki moyo wako wote.
Sina upande wowote lakini aliyenianza kunipiga nikianza kumjibu kwa kipigo siwezi acha kuendelea kumponda,
Sasa hili swala la Iran kuacha kuendelea kumpa kipondo Israel kirahisi rahisi wakati amepotezq viongozi wengi wa kijeshi chini kwao, bado haisomi!
Katika kitabu cha Kutoka 3:5, Mungu alimwambia Musa: "Usikaribie hapa, vua viatu vyako miguuni, maana mahali unaposimama ni ardhi takatifu."
Kwanini basi Wakristo wa leo hawatii agizo hilo la kuvua viatu wanapoingia kanisani, ilhali Musa aliambiwa hivyo?
Reference imeisha hivo?!
Paragrafu hiyo ya kabla ya paraghrafu ya hitimisho kwa aulewa wa sisi wote imemaanisha Kuna kuikubali dini kwa akili za kawaida, human directives and assimilations, na ya nyingine Kuna kuikubali dini kwa neema ya Mungu, yaani huwezi kuuelewa na kuupokea ukristo bila Upendo wa KRISTO.
Kwa...
Na mwenye juu Kwa juu akapata lesseni, ikifikia ahitaji cheti anafanyeje ili apate chet, kumbuka tayari anasomeka kwenhe mfumo ana lesseni, na ili uanze mafunzo lazima ukaombe (ukalipie) TRA provisional driving licence, kwa case hiyo anasaidiwaje?!
Wakristo ni Wabinafsi na Wakabila sana, Hilo ndio Tatizo kubwa, hawana undugu wa kiimani.
Maana ya Hilo la udugu wa kiimani.
Chukua situation ya walokole wawili waishio mjini na walokole wawili majirani waishio kijijini. Nisingependa kutumia mfano wa wakatolic waishio mjini vs wa vijijini kwa...
A
Awamu ya Urais ni independent, haiendi na mtu, ila Rais wa (#6, awamu ya TANO inawezekana), awamu inaenda na Maandalizi ya ilani za Chama kwa awamu 1 yenye miaka 10 ikiwa na mihula 2.
Tusipotoshe jamii kwa uelewe potofu wa mtu mmoja hata kama ni mkubwa!
Hoja hii ni sahihi,
Maana inalenga kumpa Rais anayemalizia muda wake kwa kukaimu,
Ashiriki na wengine angalau watano au zaidi kuomba ridhaa ya chama kuweza kunadi sera mpya za awamu mpya ya Sita yenye miaka 10 ijayo,
Sasa kwa kigezo hicho Samia aruhusu chama kiandae sera za kunadi kwa ajili ya...
Ukiacha mahaba ya dini ni kwamba kwa Iran Kupeleka ndege zake Israel kungitia hasara Iran! Ndege zake nyingi zingeshambuliwa njiani kwa sababu mataifa mengi ya waarabu hapo mashariki ya kati yalimruhusu Israel kutumia anga zao lakini sio Iran. Israel alizipunguza air defence system za Iran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.