Magufuli alikuwa Rais na pia alikuwa Amiri Jeshi Mkuu.
Wananchi kufuatilia habari za Tanzania kwenye media halikuwa jambo rahisi au eti kwa upendo tu, bali ilikuwa kwenda kupata tips za Hofu na Tumaini vyote kwa pamoja vinaendelea.
Hiyo sio guessing ya karibu na ukweli,
Tudhanivyo ni kwamba, Alisikika na kwa mshangao wenye sauti ya ukali Sana akihoji kwa ile kweli Sana kuhusu u- superiority wa mtoto mdogo kwa support ya Wamuscat kwenye ulazimishaji wa Muungano Kwa hoja nzito zilizosikizwa Mabarazani Kwa Wabara na hata...
Umeme ukiwa abundant nategemea nikiwasha electric light bulb zangu na jirani yangu akiwasha mashine yake inayotumia Three Phase motor wakati huo huo basi taa za nyumbani kwangu zisionyeshe ile Hali ya blink blink.
hizi nchi mbili zitaangushwa tawala zao hasimu kwa nguvu zianziazo ndani yao mpaka nje yao, kisha hizi nchi watakuwa watu wa kula meza moja na kutembeleana.
Tanzania inaanzia Zanzibar kwenda Bara na sio Kuanzia Bara kwenda Visiwani Zanzibar. Anayejua udongo mdogo walitoa wapi kwenda kuchanganya sehemu yenye udongo mwingi (location waliposimama) atusaidie. Official Union Signing location.
Muda wote tembea na kidumu, hata kama sio chako! Dawa ya huo ugonjwa unaoua wengi ni Suria tu.
Wakikwangua vocha ambayo siyo yao na wewe kwangu vocha zao, ingiza, ukiona ukipiga namba inaita ujue vocha iliyokwangua imeingia, endelea kutumia simu yako, utapona.
Weakened immune system inaweza kusababisha hiyo hali ya kulipuka Kwa Chicken pox, lakini immune system inaweza kuathiriwa na mambo mengine ikiwemo stressful life style. Kila aliyewahi kuugua chicken pox akiyumbishwa immune system kwa namna anaweza kuibukiwa na shingles
Ndugu nikupe pole kwa kuuguliwa na mtoto,
Nakusihi nenda hospital kubwa zenye vipimo vya kuangalia mapafu ya mtoto, like Aga Khan maana hao wako mikoa mingi. Huenda mtoto wako ana Pneumonia na ndio maana anakohoa kwa stahili hiyo.
Wao watamuanzishia dose (mara nyingi za sindano [aina ya dawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.