Recent content by MasterGamaliel

  1. M

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Magufuli alikuwa Rais na pia alikuwa Amiri Jeshi Mkuu. Wananchi kufuatilia habari za Tanzania kwenye media halikuwa jambo rahisi au eti kwa upendo tu, bali ilikuwa kwenda kupata tips za Hofu na Tumaini vyote kwa pamoja vinaendelea.
  2. M

    Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

    Hiyo sio guessing ya karibu na ukweli, Tudhanivyo ni kwamba, Alisikika na kwa mshangao wenye sauti ya ukali Sana akihoji kwa ile kweli Sana kuhusu u- superiority wa mtoto mdogo kwa support ya Wamuscat kwenye ulazimishaji wa Muungano Kwa hoja nzito zilizosikizwa Mabarazani Kwa Wabara na hata...
  3. M

    TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

    Umeme ukiwa abundant nategemea nikiwasha electric light bulb zangu na jirani yangu akiwasha mashine yake inayotumia Three Phase motor wakati huo huo basi taa za nyumbani kwangu zisionyeshe ile Hali ya blink blink.
  4. M

    Sikutarajia Israel Wajibu kinyonge hivyo, wenda maombi yetu ya amani yamesaidia

    hizi nchi mbili zitaangushwa tawala zao hasimu kwa nguvu zianziazo ndani yao mpaka nje yao, kisha hizi nchi watakuwa watu wa kula meza moja na kutembeleana.
  5. M

    Ulitumiaje nafasi yako ya ku-revenge kwa Ex aliyekufanyia Makusudi?

    The best revenge ni kuyatafuta mafanikio na ufanikiwe
  6. M

    Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

    Tanzania inaanzia Zanzibar kwenda Bara na sio Kuanzia Bara kwenda Visiwani Zanzibar. Anayejua udongo mdogo walitoa wapi kwenda kuchanganya sehemu yenye udongo mwingi (location waliposimama) atusaidie. Official Union Signing location.
  7. M

    Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

    Ukienda kijiji cha wajinga ujuaji wako huwa hauna maana, Dini hujingisha watu wasiruhusu utashi wa asili.
  8. M

    Kilimanjaro: Ajinyonga hadi kufa kisa wivu wa kimapenzi

    Muda wote tembea na kidumu, hata kama sio chako! Dawa ya huo ugonjwa unaoua wengi ni Suria tu. Wakikwangua vocha ambayo siyo yao na wewe kwangu vocha zao, ingiza, ukiona ukipiga namba inaita ujue vocha iliyokwangua imeingia, endelea kutumia simu yako, utapona.
  9. M

    Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

    Weakened immune system inaweza kusababisha hiyo hali ya kulipuka Kwa Chicken pox, lakini immune system inaweza kuathiriwa na mambo mengine ikiwemo stressful life style. Kila aliyewahi kuugua chicken pox akiyumbishwa immune system kwa namna anaweza kuibukiwa na shingles
  10. M

    Mtoto anakohoa sana na wakati wa usiku hadi anatapika

    Ndugu nikupe pole kwa kuuguliwa na mtoto, Nakusihi nenda hospital kubwa zenye vipimo vya kuangalia mapafu ya mtoto, like Aga Khan maana hao wako mikoa mingi. Huenda mtoto wako ana Pneumonia na ndio maana anakohoa kwa stahili hiyo. Wao watamuanzishia dose (mara nyingi za sindano [aina ya dawa...
  11. M

    Jewish Community kujaza jiji la Gaza after War-Kama Ahadi ya Allah (sw)

    Spreading our religion to others is dangerous to us than our pride in it. Let each society hold its religion.
  12. M

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    Tafuta kanda zinazofaa lima Mpunga kuanzia ekari 5 mpaka 10 kulingana na jeuri yako, au lima Maharage kwa ukubwa huo huo!
Back
Top Bottom