Nitawasiliana na atakaye hitaji mawasiliano na mimi tuongee mengi tuwasiliane pm anitumie namba na mimi yangu 0683629183 napenda sana kupata rafiki serious wa umri huo nilioutaja,ili niweze kushea nae maisha.tafadhali usiweke mzaha,kama utaona haikuhusu achana nayo.
Habari zenu ndugu marafiki, mimi ni jamaa ambaye nimekosa rafiki wa kike kwa kipindi kirefu sasa, kutokana na wengi wao kuniogopa.
Kwa hali hiyo nimeona nichukue fursa hii kutafuta rafiki wa kike ambaye ni jasiri wa kutoogopa Rafiki wa kiume kama mimi.
Aliye tayari kuwa rafiki yangu asisite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.