Nmepita mtaani watu wanabishana kwel kuhusu simba na yanga
Baadhi ya point za wanayanga ni km HV
1.Yanga ni klabu kongwe kuliko simba
Maelezo.
Mungu alianza kumuumb mwanaume Adam na akafata Eva.Hivyo basi Yanga ilianzishwa 1935 na simba 1936 kwa hiyo baba na mama wa klabu zote ligi kuu tz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.