Recent content by Mass63

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tabia 7 zitakazobadilisha maisha yako milele

    Well said. Ila kwa nini Kila ukijitahidin kuigiza vijotabia hivi baadae unashindwa. Kwa mfano kwenye kuweka malengo utaweka malengo, ila ila ikifika kwenye kujikumbusha malengo unasahau?
  2. M

    JamiiForums Tanzania DCEA yakamata kilo 767.2 za dawa za kulevya katika operesheni maalum, 21 mbaroni

    Hatari, tamaa Za watu wachache zinathiri nguvu Kazi Kubwa ya Jamii
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba kushea experience yangu ndogo kwenye Biashara ya kuuza tofali

    Mkuu vp kuhusu uzalishazi kwasiku unaweza kuzalisha tofali ngapi Kwa mashine hiyo?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume ni wa ovyo sana

    Kim is Got a mm OOP me ibd.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Fahamu jinsi ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo (Mfano: Milioni 1)

    Je biashara yoyote lazima ufanye market test,? Vp kuhusu zile za uzalishaji ambapo mpaka miundombinu ya uzakishaji ikamilike ambapo utakuwa tayari umeshaanza uwekezaji. pia Kuna biashara nyengine ni ngumu kupata taarifa za Siri ya biashara kutoka Kwa wazalishaji wengine au wateja au wauzaji. Je...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

    Aamin kwa sote.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nina milioni 3; nifuge kitu gani niweze kupambana na umasikini?

    Hii ni idea nzuri, ila umeshawahi kuona sehemu wanauza nyama choma sungura na biashara imesimama. Mtoa mada anataka kujua ufugaji wenye uhalisia zaidi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura: Wahalifu wakae chonjo, huu ni wakati mbaya kwao

    Hivi kitengo hiki hakipo katika jeshi la polisi? Sio wale dawati la jinsi! Na mm nauliza mwenye ufahamu zaidi utupe ufafanuzi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuishi bila ya kazi ya kukuingizia kipato? Kwa muda gani? Na ulikuwa unapata wapi chakula na mahitaji muhimu ya maisha?

    Hiyo point ya kutokaa sehemu moja muda mrefu kama mambo hayapo sawa makes sense.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuna upigaji mkubwa kwenye zoezi la sensa mabilioni kwa mabilioni

    Hatari wanamhujumu mama
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

    Mkuu hii jambo unalodoubt ni kweli tupu. We unadhani tumeumbwa duniani kufanya mchezo tu. Lazima tumtukuze Muumba na tutarajie malipo jwa mambo yoyote tunayoyafanya
Back
Top Bottom