Mkuu habari, hatimae tumekutana tena huku japo lengo la kufungua huu uzi ni kutokana na ile thread yako ya nyuma kdg, maana nipo nafatilia kwa ukaribu zaidi, Baada ya ukimya kwa muda mrefu hukuweza kujibu, Samahani mkuu unaweza kunielekeza kwa yule Mwarabu ulipokua unaenda kuchulia bidhaa...
Hapana Mkuu me sipo Dsm nipo Arusha now, yaani nilimaanisha umbali wa Mpanda mjini to Mwesse no.4, naweza kwenda na kurudi kwa pikipiki, maana naskia usafiri ni shida hivyo nataka nije na boda yangu kabisa ya kukusanyia mazao, ila boda nitasafirisha kwa gari ili inirahisishie shughuli zangu, na...
Mkuu wazazi wengn ni shida hasa ukute ma bro zako hawajaoa ni kimbembe aisee Hadi unajiuliza kwani matumizi watakuwa wananipa wao, yaani wanakuchulia Kama mdogo kiumri na kiakili pia.
Mkuu hebu zitaje hizo bidhaa alizosema zina faida kubwa ni Kama zipi, taja item Kama 10 tuu! Pamoja na Bei zake za kununulia na kuuza, maana naona hela yote inaishia kwenye mafuta, service na kula tu bhc!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.