Bwana Mdogo;
Wala usifikiri kwamba uko ulivo kwa sababu ya namna mzee wako alivyokutreat,Uko ulivyo kwa sababu wewe ni kama mzee wako alivyo.
Pili kama hakukua,hakukunyima chakula,hakukunyima mahitaji ya muhimu basi wala usithubutu kumsingizia iwapo wewe una changamoto zako.Mzazi humlea mtoto...
Moja kati ya huduma ya kipekee ambayo nimekuwa nikitumia ni huduma ya BOLT Business
Kwa wajasiriaali wengi ambao biashara zao huwahitaji kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine uhitaji wa huduma bora ni moja kati ya jambo la muhimu sana,Mara nyingi baadhi yao hulazimika ama kusafiri na...
Na hili hapa na Jibu la AI kwa swali lako
Kisheria na kimaadili, sio kosa kutumia maudhui uliyotengeneza kwa AI kwa ajili ya biashara, lakini kuna mambo machache ya kuzingatia:
Haki miliki (Copyright): Sheria za nchi nyingi (na masharti ya zana nyingi za AI) zinasema kuwa maudhui...
Sasa unatakiwa utumie kufanya nini?
Mimi sasa hivi ninafanya kazi zangu kwa asilimia kubwa kwa kutumia AI,
Kutengeneza Ads naanza na AI kisha kisha ndo niende kwingine,kuandika email naanza na AI,kuandaa mkataba naanza na AI hata kuandia Proposal naanza na AI.Hata nikitaka kuandika Post JF...
Dah,Jamhuri ichukuliwe hatua na nani?State Supremacy haiko hivo.Jamhuri inashtaki kwa niaba yako wewe na mimi so ukisema ichukuliwe hatua maana yake ni mimi na wewe tuchukuliwe hatua.Je uko tayari kufungu hilo BOX la mimi na wewe kushatakiwa kwa makosa ya ambao tumewapa majukumu ya kuendesha...
Mkuu,Uhuru haukuondoa SIASA.Siasa ziko kila mahali,kwenye biashara,kwenye mapenzi,kwenye familia,kwenye urafiki,kwenye dini,kwenye sheria n.k. Ndio maana unapofuatilia SIASA unapaswa uzingatie kwamba "Zakuambiwa Changanya na za kwako."
Kwa hiyo unafikiri kwamba Mahakamani hakunaga siasa?
Ndugu yangu,Hakuna majabu maana tangu mwanzoni lengo na exit point ilitakiwa ifanye Jamhuri ionekane kituko,Mahakama ibaki safi na TAL asipewe nafasi ya kuleta utetezi wake ila awe amekaa Lockup kwa Muda wa kutosha kabisa.So hakuna maajabu yoyote hapo maana huo ndio utaratibu katika issue kama hizi.
Hoja yake ni mujarabu sana.Swali ni Je kwa sasa Pesa ina umuhimu gani?Umuhimu wa Pesa kwa sasa hivi ni "Medium of Exchange and Storage of Value" Sasa kama Elon Musk yuko Sahihi anamaanisha kwama hakutakuwa na haja ya kubadilishana kitu chochote na wala hakutakuwa na haja ya kuyunza thamani na...
Asante sana Mwalimu;
Kimsingi Utumiaji wa AI unahitaji sana mtumiaji awe makini sana na context pamoja na content.Ndio maana Mara nyingi kama kazi yako ni complex ba uzingatie expertise,skill level,goals and expected outcomes.Ili Upate hivyo unaweza itumie AI kukutengenezea Prompt Bora...
Habari za wakti huu;
Miaka ya 90 wakati TEHAMA imepamba moto Duniani kwa tuliokuwepo kufahamu namna ya kutumia Computer ilikuwa ni TREND na ni Muhimu.Katika Kipindi waliibuka watu waliotajirika na hata waliofilisika.
Kw sasa hivi tuko katika zama za mbele zaidi ambazo ni zama za AI.Na kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.