Mkuu,Kwa kiwango hicho cha Pesa tubadilishe title kwamba unataka Kujihusisha na Ufukiaji Mdogo wa Pesa zako .Kuna Njia Mbili za kuingia kwenye Biashara ya Madini.Njia ya Kwanza ni kuingia Bila Mtaji yaani Nguvu yako na Jitihada na Connection na Bahati kisha sasa utokee humo humo au Uingie ukiwa...
Hivi wewe ulikuwepo hizo zamani?Unaelewa mazingira ya maisha hiyo zamani?Tuanze na hilo kuua watoto wenye ulemavu.Kumbuka hali ya maisha ilikuwa duni na ilihitaji mtu awe timamu kimwili ili aweze kumudu maisha sasa unapoona mtu hawezi mudu hayo kutokana na hali yake ya ulemavu unaamua kumuua ili...
Hiki kidonge ni kichungu sana kwa kampuni yenye umri wa zaidi ya miaka 20 kufilisiwa. Ni kweli biashara ya Media ni ngumu ila pia usimamizi mbovu na mfumo wa kikodi nao unaweza kuwa kipengele.
Kwa wasiofahamu biashara kwa ujumla wake ni kwamba kwenye biashara Makosa yoyote unayofanya tangu...
Well,TPDC ni kama kampuni ambayo imepewa nafasi ya kuingia Ubia na Sekta binafsi kwa ajili ya kuendeleza sekta ya mafuta na GESI. So kazi yao sio kutoa Vibali ni kufanya biashara.Wanaotoa Vibali hasa ni PURA.
Nafikiri Lengo la TRA ni kwenda Paperless na Kuwa Transparent.
Issue ya Batch Creation lengo nafikiri nikumaintain Payrol workflow.Inakulazimisha Upitie mchakato kamili wa kuandaa Payrol.Ni kweli kwa kampuni ambayo ni changa na aina ya wafanyakazi ni kipengele ila ikizoeleka haitakuwa shida.Any...
Potential ya kuwa na Mafuta IPO.Exploration zinafanyika na TPDC wanatoa Vibali vya Exploration ya OIL UKITAKA.
Je unataka kufanya Exploration ama unaandika tu ili upate sababu ya Kulalamika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.