Recent content by Masokotz

  1. Masokotz

    Nataka kujihusisha na uchimbaji mdogo wa madini ya dhahabu. Nina Milioni 5

    Mkuu,Kwa kiwango hicho cha Pesa tubadilishe title kwamba unataka Kujihusisha na Ufukiaji Mdogo wa Pesa zako .Kuna Njia Mbili za kuingia kwenye Biashara ya Madini.Njia ya Kwanza ni kuingia Bila Mtaji yaani Nguvu yako na Jitihada na Connection na Bahati kisha sasa utokee humo humo au Uingie ukiwa...
  2. Masokotz

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Hivi wewe ulikuwepo hizo zamani?Unaelewa mazingira ya maisha hiyo zamani?Tuanze na hilo kuua watoto wenye ulemavu.Kumbuka hali ya maisha ilikuwa duni na ilihitaji mtu awe timamu kimwili ili aweze kumudu maisha sasa unapoona mtu hawezi mudu hayo kutokana na hali yake ya ulemavu unaamua kumuua ili...
  3. Masokotz

    Natafuta fibre cement roof sheet.

    Kama ni asbestos the sidhani kama zitakuwepo sokoni
  4. Masokotz

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Hazijafutwa wala hazijawahi kuwepo.Hakukua na Organised Religion ndani ya Africa.
  5. Masokotz

    Ukiifahamu dunia kisawasawa huwezi kufa njaa wala kufa masikini!

    Easy come Easy Go.Hakuna hela hapo anayopiga.
  6. Masokotz

    Naomba kazi St Peters. Vigezo vyangu ni hivi hapa

    Kazi Umeshapata.Ufanye kazi kwa bidii.
  7. Masokotz

    Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Hiki kidonge ni kichungu sana kwa kampuni yenye umri wa zaidi ya miaka 20 kufilisiwa. Ni kweli biashara ya Media ni ngumu ila pia usimamizi mbovu na mfumo wa kikodi nao unaweza kuwa kipengele. Kwa wasiofahamu biashara kwa ujumla wake ni kwamba kwenye biashara Makosa yoyote unayofanya tangu...
  8. Masokotz

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Benki hawahitaji dhamana,Wanahitaji uoneshe uwezo wa kulipa dini.Dhamana ya Benki hata wazo linaweza tumika kama dhamana.
  9. Masokotz

    Nimefunga ofisi ya kuchomelea, nauza vitendea kazi vyote

    Tatizo waote tunataka ili bado Mkopo wa Bilion 200 za mama Haujatoka.
  10. Masokotz

    Hivi Tanzania tumekosa kabisa mafuta ya kuchimba, au uzembe wa kutafuta?

    Well,TPDC ni kama kampuni ambayo imepewa nafasi ya kuingia Ubia na Sekta binafsi kwa ajili ya kuendeleza sekta ya mafuta na GESI. So kazi yao sio kutoa Vibali ni kufanya biashara.Wanaotoa Vibali hasa ni PURA.
  11. Masokotz

    Usafiri wa mbuzi kutoka mnadani kwenda Dar

    Unajua hili swali la Bei ni swali Muhimu sana.Nafikiri hii ni Fursa ya Biashara Ni kutafuta tu Solution.Ngoja Nifanye Utaratibu Tuweke mambo sawa.
  12. Masokotz

    Ku-file kupitia mfumo mpya wa iDRAS vipengele vimekuwa vingi

    Nafikiri Lengo la TRA ni kwenda Paperless na Kuwa Transparent. Issue ya Batch Creation lengo nafikiri nikumaintain Payrol workflow.Inakulazimisha Upitie mchakato kamili wa kuandaa Payrol.Ni kweli kwa kampuni ambayo ni changa na aina ya wafanyakazi ni kipengele ila ikizoeleka haitakuwa shida.Any...
  13. Masokotz

    Hivi Tanzania tumekosa kabisa mafuta ya kuchimba, au uzembe wa kutafuta?

    Potential ya kuwa na Mafuta IPO.Exploration zinafanyika na TPDC wanatoa Vibali vya Exploration ya OIL UKITAKA. Je unataka kufanya Exploration ama unaandika tu ili upate sababu ya Kulalamika?
Back
Top Bottom