Recent content by Masokotz

  1. Masokotz

    KUTOKA HALOTEL! UNAJIPATIA LAINI MAALUM YA M2M, HII NI DATA ONLY AIPIGI SIMU WALA KUTUMA SMS. BAADA YA USAJILI UNAJIUNGA MWENYEWE.

    Hii huduma mimi ndio ninaitumia.So far kwa Upande wa SPidi iko vizuri kwa standard ya Bongo hasa kwa kasi ya 3G na 4G
  2. Masokotz

    KUTOKA HALOTEL! UNAJIPATIA LAINI MAALUM YA M2M, HII NI DATA ONLY AIPIGI SIMU WALA KUTUMA SMS. BAADA YA USAJILI UNAJIUNGA MWENYEWE.

    Hapo SASA umeanza kuelewa.Kwani huamni kwamba unaweza kuwa na Ofisi ya ya watu 20.Unaamua tuna inawezekana kabisa
  3. Masokotz

    KUTOKA HALOTEL! UNAJIPATIA LAINI MAALUM YA M2M, HII NI DATA ONLY AIPIGI SIMU WALA KUTUMA SMS. BAADA YA USAJILI UNAJIUNGA MWENYEWE.

    Mkuu Imagine kama ni Ofisi ambayo ina wafanyakazi 20 ukiwanunulia bando la laki 9 kwa mwaka.ina maana Gharama yako kwa GB moja ya DATA ni Shilingi 500.Kila mwezi unakuwa na GB 130+.
  4. Masokotz

    Hii Kozi Ya Multimedia and Film Production, Zipi Fursa zake?

    Mkuu kwenye kuchagua kozi ya Kusoma kuna mambo mengi sana ya kuangalia.Je Mdogo wako Mpaka anamaliza Darasa la 12 ana interest na hayo Mambo ya Multimedia and Film Production?Kama Jibu ni Ndio Basi Fursa zipo Nyingi sana kwani Hii Kozi inahusisha TIKTOK,YOUTUBE,ADOBE,RADIO,MUSIC/UDJ,Graphic...
  5. Masokotz

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    Mkuu,Kozi kama hizi unaweza kuwa PIA mwalimu wa Chemistry na UKAWA Mwalimu Mzuri sana.Lakini Pia Unaweza kuwa Technical Sales Wa Chemical Substances Maana watu wengi ambao wanafanya Sales Za Chemicals wengi sio Wanataaluma.Kama Bado Uko Available Nicheck Inbox Tujadili Baadhi ya Fursa ambazo...
  6. Masokotz

    Fahamu Kuhusu Outsourcing and Managed Ventures

    Mkuu,Imagine.Unakuwa na Kampuni yako ambayo.Product Development,Marketing,Recruitment,Sales etc.Inafanywa na Outsource.Wewe Kazi yako na Kuangalia Salio Benki,Kusign Cheque za malipo na Kutambulika kama Mmiliki Wa Biashara.Utakataa?Hio Ndio inaitwa FOO
  7. Masokotz

    Ukiwa na chini ya milioni 100 ni heri uiweke fixed account, Kujenga nyumba ya kukodisha ni ngumu kupiga hatua

    Mkuu,Faida ya kujenga Nyumba ni kwamba ni Fixed Asset.Kasi ya Kushuka thamani ya Cash ni kubwa kuliko Kasi ya Kushuka thamani ya NYumba.Nyumba Unaweza Kufanya kitu kinaitwa Equity Release na Ukapata Casha Value ya Mpaka 75% Huku Nyumbu ikiendelea kukutengenezea Pesa.Pia Nyumba Unaweza Kupiga...
  8. Masokotz

    Biashara ya playstation

    Kila la Heri
  9. Masokotz

    Wahudumu wa baa, hotel acheni kubana chenji za wateja hata kama ndogo

    Mkuu,Sio Poa.Unafikiri Kukutengenezea Kiti Kizuri,TV,Tabasamu,Mapaja Manono,Kukufungulia Bia na KUkunywesha,Mziki mzuri n.k.Kwa hiyo hela yako inatosha?Waachie nao wafurahie bana.
  10. Masokotz

    Fahamu Kuhusu Taarifa za Fedha za Biashara

    Angalizo: Andiko Hili sio ushauri wa kitaalamu na wala sio mbadala wa ushauri wa kitaalam.Maudhui yaliyomo yanatokana na uelewa binafsi wa mwandishi.Ukihitaji ushauri kuhusu wa kitaalamu unaweza onana na muhasibu au mshauri wa kodi aliyesajiliwa na mamlaka husika. Utangulizi. Katika biashara...
  11. Masokotz

    Fursa ya kupata Vitalu vya Kufugia katika Ranchi za Taifa

    Naona Sasa Narco Wanaanza Kupata Akili.Its a Good Move.Hivi Hectare Moja ni Sawa 10,000 Sqm ama?
  12. Masokotz

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Mkuu,Katika kesi ambazo huwa siziamini ni Kesi zote ambazo zinahusiana na suala zima la NGONO.Sisemi kwamba Naunga Mkono alichofanya DED ila ninachosema ni kwamba Kesi nyingi zinazohusiana na NGONO zinapokuwa zina migogoro ya kimaslahi basi huwa nakaa kwenye ile kanuni ya Innocent until proven...
  13. Masokotz

    Biashara ya kusafirisha petroleum Tanzania

    Naelewa,Na inashangaza sana?Hapa Ndipo Unaelewa kwamba Utajiri Unapatikana kwa njia ngumu sana.
Back
Top Bottom