Recent content by Masokotz

  1. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Bwana Mdogo; Wala usifikiri kwamba uko ulivo kwa sababu ya namna mzee wako alivyokutreat,Uko ulivyo kwa sababu wewe ni kama mzee wako alivyo. Pili kama hakukua,hakukunyima chakula,hakukunyima mahitaji ya muhimu basi wala usithubutu kumsingizia iwapo wewe una changamoto zako.Mzazi humlea mtoto...
  2. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je Unatumia Bolt Business katika Biashara yako?

    Moja kati ya huduma ya kipekee ambayo nimekuwa nikitumia ni huduma ya BOLT Business Kwa wajasiriaali wengi ambao biashara zao huwahitaji kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine uhitaji wa huduma bora ni moja kati ya jambo la muhimu sana,Mara nyingi baadhi yao hulazimika ama kusafiri na...
  3. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Na hili hapa na Jibu la AI kwa swali lako Kisheria na kimaadili, sio kosa kutumia maudhui uliyotengeneza kwa AI kwa ajili ya biashara, lakini kuna mambo machache ya kuzingatia: Haki miliki (Copyright): Sheria za nchi nyingi (na masharti ya zana nyingi za AI) zinasema kuwa maudhui...
  4. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Sasa unatakiwa utumie kufanya nini? Mimi sasa hivi ninafanya kazi zangu kwa asilimia kubwa kwa kutumia AI, Kutengeneza Ads naanza na AI kisha kisha ndo niende kwingine,kuandika email naanza na AI,kuandaa mkataba naanza na AI hata kuandia Proposal naanza na AI.Hata nikitaka kuandika Post JF...
  5. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Dah,Jamhuri ichukuliwe hatua na nani?State Supremacy haiko hivo.Jamhuri inashtaki kwa niaba yako wewe na mimi so ukisema ichukuliwe hatua maana yake ni mimi na wewe tuchukuliwe hatua.Je uko tayari kufungu hilo BOX la mimi na wewe kushatakiwa kwa makosa ya ambao tumewapa majukumu ya kuendesha...
  6. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Mkuu,Uhuru haukuondoa SIASA.Siasa ziko kila mahali,kwenye biashara,kwenye mapenzi,kwenye familia,kwenye urafiki,kwenye dini,kwenye sheria n.k. Ndio maana unapofuatilia SIASA unapaswa uzingatie kwamba "Zakuambiwa Changanya na za kwako." Kwa hiyo unafikiri kwamba Mahakamani hakunaga siasa?
  7. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Kumbe sio ya Kisiasa?Dah.Anyway wacha niendelee na kazi.
  8. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Katika SIASA ni Utaratibu wa Kawaida sana...
  9. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Ndugu yangu,Hakuna majabu maana tangu mwanzoni lengo na exit point ilitakiwa ifanye Jamhuri ionekane kituko,Mahakama ibaki safi na TAL asipewe nafasi ya kuleta utetezi wake ila awe amekaa Lockup kwa Muda wa kutosha kabisa.So hakuna maajabu yoyote hapo maana huo ndio utaratibu katika issue kama hizi.
  10. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Hakuna maajabu hapo.Haya mambo ndivyo yalivyo
  11. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je ni Kweli Fedha Hazitakua na Umuhimu Ifikapo Mwaka 2036

    Hoja yake ni mujarabu sana.Swali ni Je kwa sasa Pesa ina umuhimu gani?Umuhimu wa Pesa kwa sasa hivi ni "Medium of Exchange and Storage of Value" Sasa kama Elon Musk yuko Sahihi anamaanisha kwama hakutakuwa na haja ya kubadilishana kitu chochote na wala hakutakuwa na haja ya kuyunza thamani na...
  12. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Watanzania wanajadili Starehe za SIASA,MPIRA na UZINZI/NGONO/MAPENZI
  13. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Asante sana Mwalimu; Kimsingi Utumiaji wa AI unahitaji sana mtumiaji awe makini sana na context pamoja na content.Ndio maana Mara nyingi kama kazi yako ni complex ba uzingatie expertise,skill level,goals and expected outcomes.Ili Upate hivyo unaweza itumie AI kukutengenezea Prompt Bora...
  14. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Habari za wakti huu; Miaka ya 90 wakati TEHAMA imepamba moto Duniani kwa tuliokuwepo kufahamu namna ya kutumia Computer ilikuwa ni TREND na ni Muhimu.Katika Kipindi waliibuka watu waliotajirika na hata waliofilisika. Kw sasa hivi tuko katika zama za mbele zaidi ambazo ni zama za AI.Na kwa sasa...
Back
Top Bottom