Ukiona wanavochekeana ndo unaelewa kwamba Siasa hazihitaji Hisia.Zinahitaji uelewa na upeo.Msajili kuna namna anataka anedlee kuonekana Relevant nafikiri ana mpango wa kugombea huyu.
Ndio boss.Actually mtu yeyote anayekudai anaweza kupeleka Taarifa zako kule iwapo ana uthibitsho wa Deni na kama anataka kuhakikisha taarifa zako zinafahamika.
Habari za wakati huu;
Kwa wafanyabiashara na wawekezaji,kukopa ni sehemu ya ya kawaida kabisa ya maisha.Hata hivyo kuna wakati kwa kujua au kutokujua tunaonesha tabia ambazo zinaathiri uwezo wetu wa kukopa na wakati mwingine kutufanya tusikopesheke kabisa.
Kwa mujibu wa sheria ya usimamizi wa...
Mkuu wale siwatishi,Nasisitiza tu umuhimu wa kuelewa kwamba Unapoenda soko la HISa kule ni Playground ya Matajiri ambao wana kitu kinaitwa Disposable income.Kwa mafno kama una hisa za NMB zenye thamani ya Milioni 20 kwa bei ya ya hisa ya 13000 ina maana mwaka huu unapata Gawio la Shs...
Mkuu pole nilikuwa mapumziko ya week end.Kwanza mimi sijajadili Chanzo.Mimi ninachokataa hapa ni hii desturi ya kutukana tukana hovyo matusi ya nguoni.Hayo mengine kila mtu anaona na anaweza kufanya maamuzi yake.
Well mimi sidhani kama watu wanazuiwa kutoa maoni.Kinachozuia ni matumizi mabaya ya uhuru wa kutoa maoni..Tuelewa maoni sio maelekezo wala sio amri.Unapotoa maoni yako kwa staha haimaanishi kwamba uko sahihi.Kwa mfano kwenye uzi huu mimi nilichotolea maoni ni matumizi ya lugha ya matusi tu...
Hivi unaelewa Kwamba kuna kukosoa,na kuna kupinga.Iko hivi unapokosoa haimaanishi kwamba wewe uko sahihi.Kwa mfano mimi na wewe hapa tunajadiliana kuhusu tabia ya KUTUKANA in PUBLIC tena matusi ya NGUONI wewe unasema kwamba ni sawa akitukanwa kwa sababu ametukosea kwa kuleta riport ambayo...
Uwezo wangu ni mdogo sana kwa kweli ndio maana ninapoona watu wenye uwezo mkubwa kama wewe nawasikiliza kwa makini ili nijifunze sasa nikiona mnaishi kutukana najikuta naona bora nibakie na ujinga wangu tu kama akili zenyewe ndio hizi
Mkuu,Unafikiri watu wanauliwa kwa sababu ya kutofautiana?Ngoja nikwamba kitu ambacho haujagundua.Watu anauliwa ili wanyamazishwe.Watu wananyamazishwe pale ama wanapkuwa wanfahamu sana au wanapokuwa wanasema sana.Duniani kote Serikali zote ni mifumo yote ya kiutawala ya sasa hapa duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.