mkuu weka nyama ktk habari yako kwani unakimbizwa? acha uoga wa kitoto taja jina la muhusika wa tukio lini limetokea wapi polisi wamechukua hatua gani majeruhi wanaendeleaje sasa wewe unakuja kuleta mada haijakamilika
mkuu miswaada yote ilipingwa na umoja wa katiba ya wanainchi(UKAWA) lakini kwa uchache wao wakazidiwa na wazee wa ndiooo! chini ya bi kiroboto nafikir hao ndo uwaite mambumbumbu
inamaana wanamtafuta hawamuoni au wanamtafutia ulaya wakati yeye yupo bongo? na leo yupo pemba anaendelea na harakati za kuikomboa nch kutoka kwa mkoloni mweusi nikupe ushaur gambaz awe amehamisha au hajahamisha awe mwizi fisadi lazima awe rais hakuna namna sasa peopleeees
yani mkuu nibora umeme wa maji tuliouzoea kuliko hii gas maana ni balaa tupu na ni upmbaf kabisa hakika nch inataka mabadiliko ya haraka hata kabla ya 25 oct
habar zenu ndg: kuna dada wa rafiki yangu ana mtoto amempata tangu mwezi wa 6 lakini mpaka leo mtoto huyo bado ni mchanga sana kama kazaliwa siku 5 zilizo pita amekuwa anasumbuka sana amejaribu kwenda hospital ya wilaya ya urambo wakampa majibu ya kuwa mtoto hana tatizo nimekuja hapa ili nipate...
habar zenu ndg: kuna dada wa rafiki yangu ana mtoto amempata tangu mwezi wa 6 lakini mpaka leo mtoto huyo bado ni mchanga sana kama kazaliwa siku 5 zilizo pita amekuwa anasumbuka sana amejaribu kwenda hospital ya wilaya ya urambo wakampa majibu ya kuwa mtoto hana tatizo nimekuja hapa ili nipate...
kweli akiba yamaneno inahitajika alipokuwa kigoma alisema kuwa mwenye richmond ni yule anaetembea na lisu amesahau kuwa mwaka 2010 yeye alikua nae. jambo jema nikuwa maamuzi ya walio wengi wanamtaka awe rais nami nataka awe rais wangu na nimeandaa sherehe fupi ya kujipongeza kwa ushindi wa...
ccm imepatikana kutoka tanu hapo wamebadirisha jina kutoka tanu kuja ccm kwa hiyo hesabu ya miaka 50 ipo sawa. mfano fred kabadili jina akiwa na miaka 16 kutoka jina lake la zamani na sasa anaitwa husein miaka 34 imepita. swali je ni fred yuleyule au ni mtu mwingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.