Bukama Batoko
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 820
- 137
Last edited by a moderator:
sema utamchagua wewe usitushirikishe kwenye ujinga wako wote tuwe kama wewe
Kwanza makuful hana mvuto na muonekano wa rais, pili ccm tumeichoka haina tofauti na gari bovu kila cku gereji, tatu ni chama cha wezi na mafisadi nne ahadi ni zile zile toka 1977 na hazitekelezeki. Hapa mwendo ni lowasaaaaaaaa hadi magogoni.
wakuu mnaweza mkapita na kwenye hii link http://jobrize.com/index.php?ref=412727
Siyo bure, utakuwa mnufaika wa mfumo wa CCM.
Sikuzote hotuba za CCM ni nzuri sana,tatizo yanaishia kwenye majukwaa ya siasa.Kama umesoma makala katika gazeti la mawio la leo uk.10 - 11. Naamini utakuwa umefunguka kiasi flani, labda utawaliwe na ushabiki na mapenzi ya CCM.