Wakali wa hisabati toka UKAWA {Chadema, CUF, NCCR & NLD}

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,598
3,644
Swali: CCM imeongoza Tanzania kwa miaka mingapi?.
UKAWA (jibu): maCCM yametutawala na kutunyonya kwa miaka 50.

Swali: Hiyo miaka 50 imepatikanaje?
UKAWA (jibu): wewe vipi? Chukua mwaka 2015 - mwaka 1961 [mwaka wa Uhuru]= 54 years, of which is equivalent to 50 yrs.

Swali: Tukiweka kumbukumbu sawa, mpaka leo hii CCM inatawala nchi hii kwa miaka 38= {2015-1977}; hiyo hesabu yako bwana UKAWA umeitoa wapi?.
UKAWA(jibu): Ngoja nimuulize Tundu Lissu na Mbowe maana hawa ndiyo wamenikaririsha hiyo hesabu ya jibu la 50.

Swali: Kwanini unawadanganya wananchi namna hiyo? Sikia UKAWA toka mwaka 1961 hadi Mwaka 1977(miaka 16) Tanganyika iliongozwa na TANU. Huko Zanzibar toka mwaka 1964 hadi 1977 (miaka 13) Zanzibar iliongozwa na ASP. Tarehe 5/2/1977 TANU na ASP ziliungana na kuunda CCM. Kwahiyo CCM ilianza kuongoza nchi hii kuanzia mwaka 1977. Haya bwana UKAWA sasa rudi tena kwa wananchi ukawaeleze miaka halisi ya utawala wa CCM sawa?
UKAWA (jibu): Sawa mkuu, nitamuomba mwana CCM mwenzao LOWASSA aliyehamia CHADEMA atusafishe kwa huu uongo tulioueneza kwa Wananchi.
 
Hahahaaaa, lakini pia toka mwaka 1977 Ccm iliposhika hatamu, kila mwananchi alikuwa ccm na mpaka majeshi yote. Ilikuwa huwezi ajiriwa km wewe si mwanachama. Hapa namaanisha hata mbowe, slaa, lipumba, mtei n.k wote walikuwa ccm, na waliijenga nchi yao kwa jina la ccm.

Ilipofika 1995 uchaguzi vyama vingi ndo rasmi ulifanyika na ndo mwanzo wa miaka halisi ya ccm kuhesabika kuongoza nchi. Kwa maana nyingine ilaumuni ccm kuanzia 1995-2015 yani 20yrs na siyo 54 yrs kwani kabla ya hapo woooote mlishiriki kuijenga nchi kwa pamoja kwa jina moja
 
Hoja yako ina mashiko lkn baadhi hawatakuelewa pale litakapokuja swala la Mali za chama hicho! Wameendelea kumiliki mali zote bila kujali mfumo mpya wa vyama vingi!
 
Hoja yako ina mashiko lkn baadhi hawatakuelewa pale litakapokuja swala la Mali za chama hicho! Wameendelea kumiliki mali zote bila kujali mfumo mpya wa vyama vingi!

Hahahaaaa, lakini pia toka mwaka 1977 Ccm iliposhika hatamu, kila mwananchi alikuwa ccm na mpaka majeshi yote. Ilikuwa huwezi ajiriwa km wewe si mwanachama. Hapa namaanisha hata mbowe, slaa, lipumba, mtei n.k wote walikuwa ccm, na waliijenga nchi yao kwa jina la ccm.

Ilipofika 1995 uchaguzi vyama vingi ndo rasmi ulifanyika na ndo mwanzo wa miaka halisi ya ccm kuhesabika kuongoza nchi. Kwa maana nyingine ilaumuni ccm kuanzia 1995-2015 yani 20yrs na siyo 54 yrs kwani kabla ya hapo woooote mlishiriki kuijenga nchi kwa pamoja kwa jina moja

Hey guys, don't temper with names i.e ccm, tanu or asp, the logic behind these names there is a functional system of the government, the question now comes, there is any change in functional system of the government from tanu to ccm during the transition of tanu to ccm? If you self answer this question logically then you can spot something
 
ccm imepatikana kutoka tanu hapo wamebadirisha jina kutoka tanu kuja ccm kwa hiyo hesabu ya miaka 50 ipo sawa. mfano fred kabadili jina akiwa na miaka 16 kutoka jina lake la zamani na sasa anaitwa husein miaka 34 imepita. swali je ni fred yuleyule au ni mtu mwingine?
 
CCM kirefu chake ni chama cha mapinduzi hebu niambia lini tanganyika mlifanya mapinduzi na zanzibar hivyo hivyo kisha unipe tafsiri ya Asha Bakari kwenye Bunge la katiba kuwa hatutoi nchi kwa makaratasi tumepindua na Mkapa akasema tumemuondoa mkolon?

Mimi nilikuwa najua ccm imetawala miaka 20 sema mkapa ndiye alinikumbusha ni miaka karibia 54
 
Tanu ilibadilishwa jina ndio ikawa ccm so ni wote ni wamoja na ndio maana kila mtu anasema ccm imekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 50
 
Back
Top Bottom