Kumbe uko Dar,pia kwa yeyote anaehitaji nyumba ya kupanga hapa mwanza kuna nyumba ipo busweru majengo mapya karibu na Atman medium school,nyumba in a vyumba 2 vya kulala kimoja ni self,sebule,jiko pia choo cha ndani (public toilet) inajitegemea na ni mpya hajawahi kuishi mtu pia hapohapo kuna...