Yah hii issue ni kweli
Mimi nina ndugu yangu anasoma huko na ametujulisha kuhusu mabadiliko hayi...
Watu wanapambana sasa hv kuhakikisha analipiwa kias hicho ili aendelee na masomo yake...
Habari za majukumu wana Jamiiforum
Nina mpango wa kuanzisha microfinance co. Ndani ya mwaka huu na nilikuwa naomba ushauri juu ya software/accounting package nzuri ambayo naweza kuitumia kuendesha hiyo microfinance.
Ni matumaini yangu wana jamvi mtanishika mkono kweny hili.
Natanguliza...
Habari za kazi wadau wa jukwaa hili
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea salama kabisa na juhudi za kulijenga Taifa letu.
Leo naomba tushirikiane kwenye hiyo mada tajwa hapo juu ili tuweze kuboresha usomaji wetu, usomaji huo unaweza kuwa wa vitabu au majarida mbalimbali.
Naomba kujua kwa wale...
Mimi kwa uzoefu wangu vitu kama simu huwa hawa ship kuja Tanzania. Ukitaka kununua kitu kama simu Amazon inabid kupitia kampuni nyingine ambayo kazi yake ni ku ship kuja nchi kama za kwetu. wao wanakupa address ya US then Amazon waki ship mzigo unafika kwao then wao ndio wanakutumia Bongo.
Sema...
Kuongoza kwa miaka mingi sio kigezo cha kufanya mema. Wapo waliongoza miaka kibao na bado nchi zao hazina mbele wala nyuma. Utaratibu uliopo wa miaka 5 ni mzur ili km mtu kaharibu wananch wapate nafas ya kumtoa ili asiendelee kuharibu zaidi. Issue ni kuwa na katiba nzur ambayo itahakikisha mambo...
Habari za majukumu wakuu, ni matumaini yangu kuwa mnaendelea salama kabisa na juhudi za kulijenga Taifa letu.
Mimi naomba kuuliza kuhusu wapi naweza kupata software nzuri ambayo naweza kuitumia kwenye biashara ya mikopo kwa wafanyakazi katika mikoa na wilaya mbalimbali. Pia, naomba kujuzwa ni...
Hakuna mfuko ambao hauna deficit, deficit manake ni tofaut kati ya total assets minus total liablity. Total asset ni thaman ya mfuko na liablity ni kiasi cha mafao ya wanachama km wote wakistaafu. Kwhy hakuna mfuko dunian usionuwa na deficit. No research no right to speak
Hakuna mfuko ambao hauna deficit, deficit manake ni tofaut kati ya total assets minus total liablity. Total asset ni thaman ya mfuko na liablity ni kiasi cha mafao ya wanachama km wote wakistaafu. Kwhy hakuna mfuko dunian usionuwa na deficit. No research no right to speak
Acha propaganda, shida ya watz huwa hawapend kupita njia sahihi. Mstaafu anadai mafao yake lakini anakubali kishoka ndio akafatilia mafao yake wakat anaweza kufatilia mwenyew mafao yake. Ofis za pspf zinajulikana zilipo lkn mzee anampa kaz kishoka akafatilie kwa niaba yake lazima upigwe. Watz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.