kabeep kapigiwa na vocha kawekewa, naona mnajidanganya, kikwete akubali kuichia ikulu???????? ha ha ha haaaaa!!!!!!!!!!
impossible, afiche wapi uso wake kwa dunia nzima wakati amejiaminisha kuwa anapendwa sana???
jana nimemuona akichana kuhusu uchaguzi mkuu kwenye kipindi cha asubuhi star tv. serikali ingekuwa inasikiliza mashairi yake wangejua kuwa wanalengwa wao, ila wanajifanya hawasikii tena watamualika huyo huyo anaewachana ahudhurie matamasha yao, duh, kweli.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.