Recent content by MASIGA

  1. M

    Sekretarieti ya CCM ziarani mkoani Tanga

    Wajumbe wa sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Cde Gavu, Cde Mjema na Kenan watafanya ziara mkoani Tanga ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na kuimarisha uhai wa chama hicho. #KaziInaendelea
  2. M

    Waziri Kalemani: Mradi wa bomba ghafi la mafuta haujasimama

    Na Veronica Simba – Dar es Salaam Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ametuma ujumbe kwa watanzania kwamba utekelezaji wa mradi mkubwa wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda kupitia Tanga Tanzania hadi nchi za nje yatakakouzwa, haujasimama kama baadhi wanavyodhani...
  3. M

    Shaka: Nguvu ya CCM ndo inayoipa madaraka

    Kuna vyama Afrika vilipopata utawala vikapuuza wananchi na vigogo wake wakifurahia kutawala bila kujua ili uendelee kushika madaraka nguvu ya chama ni muhimu . CCM hakikufanya na hakitafanya kosa hilo badala yake hadi sasa kinatimiza wajibu huo ndio maana kinaendelea kuaminiwa na kukubalika na...
  4. M

    Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

    Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka...
  5. M

    Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

    Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka...
  6. M

    Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

    Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka...
  7. M

    Shaka: Upinzani usimtafute mchawi, ujitafakari na kujipanga upya

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Morogoro kimevitaka vyama vya upinzani kujipima kisiasa, kutafakari na kujitathmini hatimaye vibaini mapungufu yao na kujua kwanini wanachama na viongozi wake wakiwemo wabunge na madiwani wanavihama vyama hivyo na kurudi CCM. CCM kimesema dawa ya vyama hivyo si...
  8. M

    Kasi ya Rais Magufuli inatisha

    Wakati kukiwa na kelele zenye dhamira hasi kutoka kwa wapinzani wa maendeleo ya Tanzania Rais wa JMT ameendelea kusimama imara kama ilivyo kawaida yake na kuendelea kuhakikisha hatolewi kwenye muelekeo chanya alioamua kuipitisha Tanzania. Kuanza kwa ujenzi wa daraja la Salender ni kielelezo...
  9. M

    RC Hapi apokea taarifa ya uchunguzi wa mradi wa maji Pagawa Iringa

    Ni taarifa ya kamati maalum aliyounda kuchunguza mradi wa maji wa bilioni 4.8 Tarafa ya Pawaga Kamati yabaini wahandisi walimdanganya RC,taratibu hazikufuatwa na kazi imeanza. Mkuu wa Mkoa wa Iringa ameagiza kuchukuliwa hatua kwa wahandisi wote waliomdanganya kuhusu taarifa za mradi wa Maji...
  10. M

    Pembejeo kilimo cha pamba zawafikia wakulima

    Serikali ya awamu ya tano kupitia wizara ya Kilimo imekwisha wafikishia wakulima wa pamba mbegu kwa ajili ya kilimo hicho.
  11. M

    Guinea ya Ikweta, Rais ateua ndugu 4 wa familia yake kuwa majenerali!

    Rais Teodoro Obiang Nguema, wa Guinea ya Ikweta amewateua ndugu wanne wa familia yake kuwa Majenerali katika Jeshi la nchi hiyo. Rais huyo wa taifa hilo dogo magharibi mwa Afrika lenye utajiri wa Mafuta na Chuma amefanya uteuzi huo Oktoba 12 wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Taifa...
  12. M

    Watumishi wa umma wawaepuke matapeli hawa!

    Habarini za Kazi Wadau naomba niwashirikishe jambo, Kuna matapeli wanapiga simu kwa watumishi wakijitambulisha kuwa ni maafisa kutoka TAMISEMI atakutajia check number yako na particular zako zote mwisho na kukuambia ama una vyeti feki au umedanganya umri wako na vitu kama hivyo Mwisho wa siku...
  13. M

    Pongezi jiji la Arusha

    Katika siku ya kilele cha mbio za MWENGE zilizohudhuriwa na maelfu ya viongozi na wananchi kutoka Pande zote za Nchi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira, Vijana Jenister Mhagama alieleza kuwa ktk Kanda Namba 1 inayojumuisha Mikoa mizito Yaani Dar,Arusha,Mbeya,Mwanza, Kilimanjaro...
  14. M

    Chama cha mapinduzi kuwachukulia hatua wenyeviti serikali za mitaa wasio soma mapato na matumizi

    21 Oktoba 2018 Katika Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Kata ya Mtoni Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es salaam Ndg. Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitawachukulia hatua kali Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wanaotokana na CCM wasio soma mapato na matumizi kwa...
  15. M

    Mwenyekiti chipukizi taifa atema cheche

    Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Ndugu Nimka Lameck leo tarehe 21/10/2018 ametembelea uchaguzi wa chipukizi unaoendelea katika wilaya za Kinondoni, Ubungo na Temeke ambapo amepata fursa ya kuzungumza na wajumbe wa mkutano mkuu katika wilaya hizo. Akizungumza na wajumbe hao kwa nyakati tofauti Ndg...
Back
Top Bottom