Wajumbe wa sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Cde Gavu, Cde Mjema na Kenan watafanya ziara mkoani Tanga ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na kuimarisha uhai wa chama hicho.
#KaziInaendelea
Na Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ametuma ujumbe kwa watanzania kwamba utekelezaji wa mradi mkubwa wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda kupitia Tanga Tanzania hadi nchi za nje yatakakouzwa, haujasimama kama baadhi wanavyodhani...
Kuna vyama Afrika vilipopata utawala vikapuuza wananchi na vigogo wake wakifurahia kutawala bila kujua ili uendelee kushika madaraka nguvu ya chama ni muhimu . CCM hakikufanya na hakitafanya kosa hilo badala yake hadi sasa kinatimiza wajibu huo ndio maana kinaendelea kuaminiwa na kukubalika na...
Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka...
Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka...
Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Morogoro kimevitaka vyama vya upinzani kujipima kisiasa, kutafakari na kujitathmini hatimaye vibaini mapungufu yao na kujua kwanini wanachama na viongozi wake wakiwemo wabunge na madiwani wanavihama vyama hivyo na kurudi CCM.
CCM kimesema dawa ya vyama hivyo si...
Wakati kukiwa na kelele zenye dhamira hasi kutoka kwa wapinzani wa maendeleo ya Tanzania Rais wa JMT ameendelea kusimama imara kama ilivyo kawaida yake na kuendelea kuhakikisha hatolewi kwenye muelekeo chanya alioamua kuipitisha Tanzania.
Kuanza kwa ujenzi wa daraja la Salender ni kielelezo...
Ni taarifa ya kamati maalum aliyounda kuchunguza mradi wa maji wa bilioni 4.8 Tarafa ya Pawaga
Kamati yabaini wahandisi walimdanganya RC,taratibu hazikufuatwa na kazi imeanza.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa ameagiza kuchukuliwa hatua kwa wahandisi wote waliomdanganya kuhusu taarifa za mradi wa Maji...
Rais Teodoro Obiang Nguema, wa Guinea ya Ikweta amewateua ndugu wanne wa familia yake kuwa Majenerali katika Jeshi la nchi hiyo. Rais huyo wa taifa hilo dogo magharibi mwa Afrika lenye utajiri wa Mafuta na Chuma amefanya uteuzi huo Oktoba 12 wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Taifa...
Habarini za Kazi
Wadau naomba niwashirikishe jambo,
Kuna matapeli wanapiga simu kwa watumishi wakijitambulisha kuwa ni maafisa kutoka TAMISEMI atakutajia check number yako na particular zako zote mwisho na kukuambia ama una vyeti feki au umedanganya umri wako na vitu kama hivyo
Mwisho wa siku...
Katika siku ya kilele cha mbio za MWENGE zilizohudhuriwa na maelfu ya viongozi na wananchi kutoka Pande zote za Nchi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira, Vijana Jenister Mhagama alieleza kuwa ktk Kanda Namba 1 inayojumuisha Mikoa mizito Yaani Dar,Arusha,Mbeya,Mwanza, Kilimanjaro...
21 Oktoba 2018
Katika Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Kata ya Mtoni Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es salaam Ndg. Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitawachukulia hatua kali Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wanaotokana na CCM wasio soma mapato na matumizi kwa...
Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Ndugu Nimka Lameck leo tarehe 21/10/2018 ametembelea uchaguzi wa chipukizi unaoendelea katika wilaya za Kinondoni, Ubungo na Temeke ambapo amepata fursa ya kuzungumza na wajumbe wa mkutano mkuu katika wilaya hizo.
Akizungumza na wajumbe hao kwa nyakati tofauti Ndg...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.