Wakati kukiwa na kelele zenye dhamira hasi kutoka kwa wapinzani wa maendeleo ya Tanzania Rais wa JMT ameendelea kusimama imara kama ilivyo kawaida yake na kuendelea kuhakikisha hatolewi kwenye muelekeo chanya alioamua kuipitisha Tanzania.
Kuanza kwa ujenzi wa daraja la Salender ni kielelezo kingine kuwa Rais Magufuli ni mtu wa matokeo
Kuanza kwa ujenzi wa daraja la Salender ni kielelezo kingine kuwa Rais Magufuli ni mtu wa matokeo