Piga goti ndugu sali sana.Na mwambie huyo dada kila siku kuwa unampenda sana mkeo na yeye aendelee kumpenda mumewe.Ukiona vipi changua mkeo au kazi.Kuna kashetani kanataka kuharibu hapo.Sala iwe ndio uchawi wako.sali sana kaka.
Haya yoye yanatokea kwa sababu pia sisi wanawake hatupendani hata kidogo.tungekuwa tunapendana tungesaidiana sana katika hili.Mtu anajua wewe unatoka na fulani na yeye anamtongoza mpaka ampate na huyo ni rafiki yako.Je kuna upendo hapo?
Thin line between love and ......
Mwita Maranya;
Na pia kuwa na ujasiri wa kumtukana Asha matusi mazito yale.Alikuwa anajiamini ndio maana alisema hatamwacha mpaka afe.mmh.Mume wa mtu ni SUMU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.