Mpenzi endelea tu kununa, nimeamua kumsaidia dada yangu!

huyu dada kweli ni kiboko khaa!
alafu na zuzu la mwisho kabisa sijawai kuona mweh!
alishindwanini kujificha kaa mama yangu mdogo alivofanya mpaka akaolewa saivi kausambaratisha ukoo wetu wote yani maelewano hakuna tena ...ukoo wote unawaka moto
:focus:
mshukuru sana muumba wako e kijana kukuonesha mapema mana ungeenda kujuta na kama ww ni wale wa ndoa moja mpaka kufa basi ingekula kwako ila kama ww ni wale wa wanne basi wala usingepata tabu mana ungemtimua fasta
 
huyu dada kweli ni kiboko khaa!
alafu na zuzu la mwisho kabisa sijawai kuona mweh!
alishindwanini kujificha kaa mama yangu mdogo alivofanya mpaka akaolewa saivi kausambaratisha ukoo wetu wote yani maelewano hakuna tena ...ukoo wote unawaka moto
:focus:
mshukuru sana muumba wako e kijana kukuonesha mapema mana ungeenda kujuta na kama ww ni wale wa ndoa moja mpaka kufa basi ingekula kwako ila kama ww ni wale wa wanne basi wala usingepata tabu mana ungemtimua fasta

hiyo kiboko, baba mdogo mnakutana naye ofisini tu............................
ila hilo nalo ni baya sana, kusambaratisha ukoo wa mume! hivi ukipata tatizo ambalo utahitaji msaada kwa hiyo familia utafanyaje?
 
Mweleze jamaa yako amueleweshe kuwa mgonjwa ndie ayehitaji msaada zaidi huenda litamuingia kichwani maana kuna watu wana vichwa vigumu sana kuelewa issue simple kama hiyo!!
 
POLE; LAKINI SHTUKA!!! UJUE MUNGU WAKO NI MZURI NA ANAKUPENDA SANA NA ANATAKA UWE NA NDOA YENYE AMANI.



ngashtuka meku, machale kundesa..................... Duiterewe Ruwa adusaidie...... cha!!!!!!!!!!! Eti wife to be!!! lo!
 
hiyo kiboko, baba mdogo mnakutana naye ofisini tu............................
ila hilo nalo ni baya sana, kusambaratisha ukoo wa mume! hivi ukipata tatizo ambalo utahitaji msaada kwa hiyo familia utafanyaje?
yani kavurunda kila ishu hapa home khaa! hakuna maelewano
 
No body's perfect ajaribu kumuelewesha thn km ataendelea n Tabia yake bac achukue uamuzi wowote anaoona yeye unafaa
 
huyu dada kweli ni kiboko khaa!
alafu na zuzu la mwisho kabisa sijawai kuona mweh!
alishindwanini kujificha kaa mama yangu mdogo alivofanya mpaka akaolewa saivi kausambaratisha ukoo wetu wote yani maelewano hakuna tena ...ukoo wote unawaka moto
:focus:
mshukuru sana muumba wako e kijana kukuonesha mapema mana ungeenda kujuta na kama ww ni wale wa ndoa moja mpaka kufa basi ingekula kwako ila kama ww ni wale wa wanne basi wala usingepata tabu mana ungemtimua fasta

Ila jamani mwanamke akiamua kulianzisha tifu la kifamilia, huwa ahkuna anayebaki salama, mweeeeeeee!
 
mimi napenda tabia ya huyo dada kwani HAJAFICHA KUCHA kama wengine wafanyavyo. Hapo unatakiwa kuoa kwani inaonyesha hana tabia nyingine iliyojificha ambayo inaweza KULETA SHIDA baada ya NDOA. Tabia zingine zinaweza KUREKEBISHIKA TARATIBU CHA MSINGI INAJULIKANA. Huwezi kurekebisha tabia ambayo HAIJULIKANI, na suala la KUFICHA MAKUCHA NDO CHANZO CHA TALAKA NYINGI NA MIGOGORO MINGI KATIKA NDOA ZA MILENIA.

NAMSHAURI AOE!!!!
 
"Nilipanga hiyo hela nimsaidie ili aongezee mtaji afungue saluni ya kike. Kabla ya kumpatia hiyo pesa ikaja taarifa ya kuuguliwa na binamu yangu. Kutokana na umuhimu wake kwangu, nikaamua pesa, nilopanga kumpa yeye ili aanzishe mradi wake wa saluni, niipeleke kwenye matibabu ya binamu yangu aliye mgonjwa sana.

Akadai eti simpendi vinginevyo ningempa yeye kwanza halafu nifanye mpango wa kutafuta nyingine ili nimtibie huyo ndugu yangu kwani yeye alikuwa wa kwanza. Hadi leo ni wiki imepita amenuna na akipigiwa simu hapokei, na wala hajakuja kumuona wifi yake mtarajiwa. Mwanzoni niliona kama ni mwanamke anayeweza kuwa mke wa maana lakini ktk hili nimeanza kuwa na wasiwasi juu ya upendo wake kwa ndugu zangu. Iweje ameshindwa kuona umuhimu wa kutibu ugonjwa ili kuepusha kifo? Je mchumba dizaini hii kweli kuishi na ndugu wa mume kweli achilia mbali kuwasaidia wakati wa shida?".

Kadhia hii imemkuta mtu wangu wa karibu na ameomba nimshauri la kufanya juu ya huyu 'kishtobe' wake alokuwa akimpa nafasi ya kuwa mkewe siku za usoni.

Jamaa ameboreka hasa kutokana na tabia iliyoonyeshwa na huyu 'kishtobe' wake. Bado anajishauri aendelee na mpango wa kumuoa au amteme jumla jumla kwa sababu ya dalili hii mbaya aloionyesha mapema?

mbna kila mtu ndugu yangu,rafiki yangu, kwani ukisema wee ndo muhusika kuna mtu ankujua kwanza,au ndo utakua wa kwanza demu wako kuonyesha tabia ya namna hiyo.
 
Mkuu Ndyoko mi huwa nakuamini sana unajua.....!!!!!!!!!!!!!!
Hili mbona lilikuwa la kumaliza tu hukohuko..........mbona na wewe unaunda tume banaaaaa??????

Aaaaaagh you make sick brother.....mchakato....mkandarasi.....upembuzi yakinifuuuu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom