AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
huyu dada kweli ni kiboko khaa!
alafu na zuzu la mwisho kabisa sijawai kuona mweh!
alishindwanini kujificha kaa mama yangu mdogo alivofanya mpaka akaolewa saivi kausambaratisha ukoo wetu wote yani maelewano hakuna tena ...ukoo wote unawaka moto
:focus:
mshukuru sana muumba wako e kijana kukuonesha mapema mana ungeenda kujuta na kama ww ni wale wa ndoa moja mpaka kufa basi ingekula kwako ila kama ww ni wale wa wanne basi wala usingepata tabu mana ungemtimua fasta
alafu na zuzu la mwisho kabisa sijawai kuona mweh!
alishindwanini kujificha kaa mama yangu mdogo alivofanya mpaka akaolewa saivi kausambaratisha ukoo wetu wote yani maelewano hakuna tena ...ukoo wote unawaka moto
:focus:
mshukuru sana muumba wako e kijana kukuonesha mapema mana ungeenda kujuta na kama ww ni wale wa ndoa moja mpaka kufa basi ingekula kwako ila kama ww ni wale wa wanne basi wala usingepata tabu mana ungemtimua fasta