Recent content by mashine

  1. mashine

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Acheni ujinga. Hakuna shotkati msije kulia nyie viumbe. Tembeleeni vyombo husika kupata taarifa hizo na sio vinginevyo. Mkipigwa ndio akili itakua sawa. Uwezekano ni mdogo watu kwenda jkt mwaka huu. Elewa
  2. mashine

    Wanahitajika vijana wa kazi

    Kuweni makini mnao fuatilia kazi ajira na uhitaji mwingine. Matapeli ni wengi sana. Kampuni nyingi ambazo hazina usajili nyingi ni wizi tu. Kuwa makini.
  3. mashine

    TTCL imejaa Wazee, Tangazeni Nafasi za Kazi

    Wazee wanahaki ya kupiga kazi. Tatizo ukifuatilia miaka yao utakuta alianza kazi akiwa na miaka kumi. Wamerudisha umri wao saana, mpaka hawaendani na vitendo. Vijana mlio ingia hapo ama mtaingia hapo ukipewa cheo kataa kama unajipenda.... Kuwabadilisha ni kazi kwasababu wao wanajua kila kitu...
  4. mashine

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Pascal Mayalla, Kuna aina mbili za injili 1.Kuna injili ya kikoloni 2.Na kunainjili ya kweli Injili ya kikoloni imemeza wengi ndio maana watu hawataki. Uwe unatoa maelezo vizuri hasa na ushaidi mzuri, siku io alio ongea hayo nilikwenda kwakua kulikua kuna habari ya makonda. Alisema hivi...
  5. mashine

    BAKWATA mnaufedhehesha umma wa waislam, mko kimya juu ya kuuawa kijana Salum kwanini?

    Msanii Roma katoli, mwangosi ama nae watu wangehusianisha na dini ingekuaje? Acha hizo wewe ongelea kama mtanzania na sio dini.
  6. mashine

    BAKWATA mnaufedhehesha umma wa waislam, mko kimya juu ya kuuawa kijana Salum kwanini?

    Kipiti watu wameuwawa lakini hawaja taja dini. Acha akili za kibaguzi. Mauaji yoyote yalaaniwe na sio kuusisha na dini. Ivi kama na walio iwawa kibiti wakisema ni waislam nio walio walio waua itakuwaje? Kuwa na mtazamo mzuri na sio wakuonewa kama dini. Nikosa la kulaaniwa na sio kuhusianisha na...
  7. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Yesu akati anarudi Mbinguni kwa Baba yetu alituahidi kua atatutumia msaidizi nae ndie Roho mtakatifu mwombezi. Siku ya pentekoste. Hapo kabla ya roma kuwa dhehebu
  8. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Petro aliuliwa na nani? Mwamba ni nani? Roma ilianzishwa kuwa dhehebu na nani?
  9. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Uko sahihi. Ila si kuwaomba wafu. Tunae mwombezi ndie roho mtakatifu. Wafu hawajui neno lolote. Soma vizuri kisa cha Razaro Tajiri na Ibrahimu.
  10. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Si Mungu wa wafu bali wa walio hai. Mathayo 22:32
  11. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Mathayo 22:32. Si Mungu wa wafu bali wa walio hai.
  12. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Yesu ndie mwamba. Kasome vizuri. Huyo petro aliuliwa na hao hao enzi izo wao ni wakoloni. Badae ndo wanasema wao ni mwamba- labda ni mwamba kweli maana nimgumu kuvunjia kwenye akili za watu wanao jiita ni waitali
  13. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Hao sio wafu. Hata kwenye harusi yakana Mariam alikua hai na Yesu pia alikua nao. Ni hekima tu ya mtoto kuomba hela kwa babaye kupitia mama wakiwa hai, sio kuomba pesa kutumia mama mfu.
  14. mashine

    Pope Fransic awatangaza Jasinta na Fransisco kuwa Watakatifu(Saints)

    Tunae mwombezi wetu ndie Roho mtalatifu kwa njia ya Kristo Yesu. Paulo ama luka,matayo hawajawahi omba wafu. Kisa cha Razalo na tajiri, Ibrahimu hakuweza fanya chocho juu ya kusaidia waliopo duniani
Back
Top Bottom