Recent content by Mashegwa

  1. M

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Binafsi mie siwezi chagua kiongozi maskin ambaye ataonea kiyoyozi ikulu nihatari sana
  2. M

    Vijana watatu wa Geita ni kielelezo cha CHADEMA

    Hilo nikweli mkuu nashauri vijana hao wapelekwe milembe hosp wakapimwe akili maana si bure
  3. M

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    Ni kweli kama kweli anachukia wezi mbona gazeti hilo alijawahi kulipoti wizi wa NICO na boss wake kukopa benk ya NBC mpaka imefilisika!
  4. M

    ITV/Radio One, huyu mwandishi wenu wa Musoma ni muongo

    mnataka kila mwandishi wa habari atoe habari za chadema tu jamani mbona huu ni ufinyu wa fikra? mkitaka hivyo anzisha chadema tv kama ilivyo TANZANIA DAIMA
  5. M

    Dr. Masaburi amkana Lowassa, ataja sifa za Pinda kama Rais ajaye

    Peleka uko mzigo wako ni Rais gani huyo kila saa analalamika tu ?Hakuna kitu hapo tunataka rais ajaye awe na maamuzi sio chondechonde
  6. M

    Mshuhudie Anna Tibaijuka wakicheza mziki na Rugemalila baada ya kupeana ESCROW

    Safi sn mama yetu ni watu wachache wanaokumbuka kwao
  7. M

    Kafulila afunguka tena, sasa aituhumu Ikulu kuhusika na suala la ESCROW

    Wewe mbona utaji unazo pewa na bepari mengi na mkono ili usema huo uwaro wako huo jamani naomba tuwe wakweli mwenyezi mungu atatoa hukum yke soon
  8. M

    Ndoa ya UKAWA yaanza kufa kifo cha mende katika Mikoa mbali mbali

    Unaitaji maombi nenda kwa mch mama lwakatale
  9. M

    Kimeanza kunuka UKAWA, maneno ya Makwilo

    Arsenal wameshinda jana
  10. M

    Picha: Ziara ya CHADEMA bunge la Ulaya

    Wote mburura tu hao wameenda kukinga bakuli
  11. M

    Mengi: Natishwa

    Anatishwa na watu alio watapeli huyo ndo fisadi namba moja mbona nyie wanahisa wa ile kampuni ya NIKO hamsemi? si mnajua hiyo pesa alikula huyu mzee au?
  12. M

    Muhongo Na Maswi Wachunguzwe na Kukamatwa Mara Moja

    Prof yuko vizuri na hakuna dhambi kubwa Raisi atatenda kama atatekeleza maazimio ya kamati na kimsingi kamati ilitekereza maagizo ya mabepari
  13. M

    Wafahamu kwa sura zao na sifa zao wabunge waliosimama kuwatetea watuhumiwa wa ESCROW bungeni

    Faida wanayo kwa wapiga kura wao hao ndo wakusema kuwa hawafai si ww na kama kamati yko hiyo unayosifia kila kukicha mbona wananchi tunaona kabisa ilikuwa inafuata maelekezo ya bepari Reginald Mengi maana kama nikosa mhusika mkuu ni Benki kuu mtoa fedha na kama ni kodi mhusika mkuu ni TRA...
Back
Top Bottom