mnataka kila mwandishi wa habari atoe habari za chadema tu jamani mbona huu ni ufinyu wa fikra? mkitaka hivyo anzisha chadema tv kama ilivyo TANZANIA DAIMA
Anatishwa na watu alio watapeli huyo ndo fisadi namba moja mbona nyie wanahisa wa ile kampuni ya NIKO hamsemi? si mnajua hiyo pesa alikula huyu mzee au?
Faida wanayo kwa wapiga kura wao hao ndo wakusema kuwa hawafai si ww na kama kamati yko hiyo unayosifia kila kukicha mbona wananchi tunaona kabisa ilikuwa inafuata maelekezo ya bepari Reginald Mengi maana kama nikosa mhusika mkuu ni Benki kuu mtoa fedha na kama ni kodi mhusika mkuu ni TRA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.