Hahahaaa! Mkuu RingaRinga nifute kauli kiaje sasa!!!
Sijaona sababu ya kuamini uwepo wake kama inavyosimuliwa na Muslim na Christian. Ikiwa unahisi kuna sababu ya msingi ya kuamini, weka tu mkuu.
Ivi Mkuu hiyo copy ya mtu wataitoa wapi na kivipi?
Na vipi ufahamu utakuwa traspoted kutoka original perspn to his copy?
Then umesema copy inapokuwa transformed inakuwa original. so original inapoondolewa ufahamu na kupelekwa kwa copy, original inabaki na hali gani?
Mkuu Brainiac naomba...
Mkuu hapo ktk chakra ni kwamba mtu hutakiwa kufanya mazoezi (special meditation) ili kuengeza energies ktk vituo hivyo na ndipo aweze kufanya ayatakayo ktk ulimwengu wa kiroho.
Sasa inakuaje unasema ukipunguza hiyo energy (eg kwa kufunga) ndipo utaweza kufanya hayo mambo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.