Habari wakuu, nataka kuanza biashara ya mafuta ya alizeti na niko dar, sijawahi kuifanya wala sina ninacho jua kuhusu hii biashara.
Sasa naomba wanaoilewa, wanao Fanya, waliowahi kufanya hii biashara wanijuze, walioko singida pia karibuni. Kwa singida Lita tano bei gani? Lita ishirini bie gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.