habar wadau, naomba kufahamishwa kuhusu sheria ya ujenz wa mabarabara na kuelekeza maji yake kwenye makaz ya watu.maana huku kwetu kuna barabara imejengwa na maji yake yameelekezwa kwenye mij yetu sa tufanyeje kuzisaidia nyumba zetu.
think big bro! kama hujui jambo bola unyamaze sio kutema pumba ambazo zinakuonyesha jins ulivyo rough katika kulogic hoja.kanun za educational management ziko waz bad management poor perfomance
jambo jema kwangu ni almost wasimamiz wotekatan ni watumish wenzangu ambao ni makamanda hatar! wameniakikishia kuwa hakuna bao la mkono katka vituo vyao litakalofungwa
hakika Mungu huwatumia wanadamu kuokoa roho za watu wake very compassion kwa kile kilichokusibu japo cjakijua n trust me dunia nzma itasimama kushuhudia uchaguz huu wa kihistoria
bro hzo picha co za mondul kwa fact cfuatazo.1 masai hujenga nymba kwa kutumia mit miembamba xan tofaut na kwnye picha 2 baada ya kujenga huitaliz kwa tope lilichanganywa kwa jivu 3 hakuna mmasai anavaa nguo tofaut na migoror yao 4 viat vyao ni tair la pkpiki tofaut na picha mkuu acha propaganda
co ukwel na ni upotoshwaj mkubwa! mi nikir kabisa kuwa ni mwana ccm! na nimeish mondul zaid ya miaka3 hocpital ya wilaya ya mondl ni hocpital mfano hapa nchin! wanatoa kila aina ya hduma ambayo huitajka kotka katka hosptal kubwa.wod za kutosha mpaka baadh zko tupu hudma ya maabara ya uhakika had...
yah! ccm ina wanachama weng na ndio wanaojtokeza kweny mikutano yao but huwez linganisha na umat wa watz wasio na chama chochote ambao hujtokeza kwnye mikutano ya ukawa(lowasa)
hii! kuna tangazo fulan linarushwa startv likirusha speech ya mwl nyerr likihuc ufisad wakat huo wakionesha picha za mh lowasa! hii inamaanisha nin ama kwa wale waukawa waache kusapot chanel hi il ibak kwa maccm pekee! naomba kuwasilisha wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.