Recent content by Masatu Joshua

  1. M

    Majigambo ya Mtoto wa Rais na 'Precedents' za Viongozi Watangulizi

    Walikuwepo akina Mbarak Al Islam leo wako wapi?
  2. M

    Dr. Francis wa CCM: Tutajenga reli kwa kiwango cha lami

    Pengine tumweleweshe kidogo dk kuhusu reli maana yawezekana akiona mawe ( ballast) relini anadhani hiyo ni lami, ni hivi dk, reli imejengwa kwa mataluma (sleepers) na reli (rails) na kuunganishwa na vifungio (fittings and fastenings) ambazo ni boliti na nati (bolts and nuts) pamoja na chuma...
  3. M

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Mvua ni baraka wacha ituchape na hatuondoki kama ilivyokuwa tarehe 9 december 1961
  4. M

    BBC Swahili Tumewachoka!

    Acha kupanic ndugu, walichosema BBC ndiyo hali halisi kama hutaki acha.
  5. M

    Ukweli mtupu kuhusu Mchungaji Gwajima, Lowassa na anguko la CCM

    Yes, Politics is dynamic, changing with time as well as situation, the political sphere before CCM bosses outsmarted honorable Lowassa the political wind was been blowing in their favour, but todate there are lamentations and unnessesary abusing languages towards Lowassa due political dynamisty.
  6. M

    Kutoka Diamond Jubliee Dsm: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC

    Hapana hii hajaiga popote, ila ile ya asiyeweza kulipa nauli ya sh 200 apige mbizi kaiga kwa nyangumi maana wale ndio wataalam wa mbizi
  7. M

    Aliyefichua Ufisadi TRL afariki saa chache baada ya Mabosi zake kutimuliwa Kazi na Waziri!

    His name is Ngoso Ngosomwile a TRL Chief mechanical engineer.
  8. M

    Tundu Lissu akiongea ni kama AG, MNYIKA kama Spika, Mbowe kama Waziri Mkuu

    Wa msimbazi1 umenifurahisha sana mtani wangu mimi natoka mitaa ya jangwani na twiga, wewe ni GT wa ukweli maana ukweli umeutambua ila unaamini katika msimamo wako, inshallah tumwombe ALLAH amfanyie wepesi mh Mbowe ili mwaka 2019 apumzike na chama kimpe kijiti mtu mwingine ambaye hatakuwa na...
  9. M

    Tundu Lissu akiongea ni kama AG, MNYIKA kama Spika, Mbowe kama Waziri Mkuu

    Yawezekana unamatatizo binafsi na mh Mbowe lakini umekiri kuwa chama kilipofika...., maana yake kimekua na kiko pazuri (tafsiri yangu) sasa hapo kilipofika tambua kuwa kuna mchango mkubwa tu wa mr chairman na mapungufu ni sehemu ya ubinadamu, ninachokipinga mimi ni kumwita mr chairman mbumbumbu...
  10. M

    Tundu Lissu akiongea ni kama AG, MNYIKA kama Spika, Mbowe kama Waziri Mkuu

    Wa msimbazi pamoja na wote wenye mtizamo wa kishabiki kama wa kwako, shabaha kubwa na ya muhimu ya kupata elimu ni "kubadilisha fikra mgando kuwa fikra hai" (to replace an empty mind with open mind) na mara zote ili fikra zitoke kuwa mgando na kuwa hai ni lazima ufundishwe au ujifunze maarifa...
  11. M

    Ajali ya Treni na Lori kati ya Machinga Complex na Mataa ya Chang'ombe

    Ndugu Masumbuko defensive driving ni pale dereva anapokuwa na namna nyingine ya kufanya; kwa dereva wa treni hana namna yoyote ya kukwepa iwe ni gari au mtu lakini ujue treni haina usukani inakata kuruba (curves) kwa nguvu ya msukumo (centrifugal force) na kwa uwiano mahsusi wa reli zote mbili...
  12. M

    Ajali ya Treni na Lori kati ya Machinga Complex na Mataa ya Chang'ombe

    Manjagata, machinga complex na taa za chang'ombe zimeunganishwa na Kawawa road lakini Kawawa road ina cross reli kitaalamu tunaita LEVELCROSSING hivyo ukikuta barabara sehemu yoyote imekatisha reli, sehemu hiyo iite levelcrossing, inaweza ikawa Mandela levelcrossing, Buguruni levelcrossing ama...
  13. M

    Mtikila azuia Muswada wa Mahakama ya Kadhi Kujadiliwa

    Ndugu Ally Kombo kilichonifanya nije kwenye public forum ni katiba ya JMT sura ya kwanza; sehemu ya tatu ibara ya 18, 19, na 20; kudadavua au kutodadavua ni mtizamo wako lakini jambo la msingi ni je, yale niliyoyanukuu kutoka kwenye HOLLY QURAN surat AN-NISAA ndiyo hukumu zenyewe ambazo...
  14. M

    Mtikila azuia Muswada wa Mahakama ya Kadhi Kujadiliwa

    Wakuu, haya maneno si ya kwangu nimeya nukuu tu kutoka kwenye kitabu chenye WAKFU ambacho hata hukumu za ndoa na mirathi zinatoka humo mimi mtanishambulia na kunitukana bure na kwa kunionea, wakuu hukumu na sharia zote zinatoka kwa mwenyezi Mungu na ziko ndani ya kitabu kitukufu QURAN; ndiyo...
Back
Top Bottom