=> Nguo za watoto miaka 0-4, NDO ZITAKUTOA HASA WAKIUME BUKTA ZA JEANS, VIGAUNI YA WAKIKE PIA VINALIPA kumbuka watoto huvalishwa nguo zaidi ya nne kwa siku, hujikojolea kujichafua kwahiyo wanahitaji nguo nyingi kuliko rika lingne
=>NGUO za watoto utakayo muuzia MWANAUME ni bei ya juu kuliko...
FANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA
=> WEKA MAJI YA KUTOSHA kama umeweka maji kitoto ndoo tena nusu UNATEGEMEA NINI?
=> ELIMU KWA WATUMIAJI kuna hotel nyingne unaingia unaogopa kujisaidia, choo cha kisasa, maji huoni kumbe ni AUTOMATIC ushamba unakutoka
NINGEKUWA NA KITUO CHA RADIO ni TAARABU NA NDUGU ZAKE TAARABU asubuhi mpaka jioni WIMBO MMOJA NI Dk 15 mpaka 30, nyimbo za dk 2 kama country, regge, ni marufuku ITASAIDIA KULIPA WASANII WACHACHE ZAIDI
MI NIMEPENDA KUKURUPUKA KATKA KUTUMBUA MAJIPU mfano mazao/mahindi heka 400, yafyekwa kwa madai wameinglia ENEO LA SERIKALI . . . . . . . . wakiotesha walikuwa wapi? mpaka yanakaribia kukomaa ndo unafyekelea mbali
NASHAURI (mirembe) HOSPITALI ZA WENYE MATATIZO YA AKILI ZIJENGWE KILA KATA na mtoa mada nae akapimwe . . . . . . . . kweli kweli TZ inakosa wenye uwezo zaidi au . . . . .
WANAOJIELEWA? vyakula bei juu!, maisha magumu, afu unasema unajielewa? UMERIDHIKA NA MAISHA NDUGU ANGALIA WALEMAVU WANAVYOTESEKA, MAMANTILIE,BODABODA, usijiangalie we binafsi
NDO UTAKUWA UMETATUA TATIZO AU? waandishi kama hawa wanatakiwa wafungwe, maana wa JK kakaa miaka kumi tu, WATANZANIA ndo wanamsema hivi JE angekaa 14 miaka?, TUACHE DEMOKRASIA IFANYE KAZI ipunguzwe iwe miaka 4,
MBUNGE CCM
DIWANI CCM
mwenyekiti CCM
SUBIRI MAJI TOKA CCM WATALETA
ziwa victoria si lipo hapo yamepelekwa shinyanga, OK. poleni sana PENYE MITI HAKUNA WAJENZI
"HAPA KIAZI TU"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.