Recent content by masalakolangwa

  1. masalakolangwa

    DAVID KAFULILA amekosa heshima kwa Watanzania

    Hahah, sasa si atafute grounds za kidiplomasia za kukutetea hilo.
  2. masalakolangwa

    DAVID KAFULILA amekosa heshima kwa Watanzania

    Kuna vijana wana hadi phd na wametulia wanaheshima na hekima sio yeye anapayuka payuka tu.
  3. masalakolangwa

    DAVID KAFULILA amekosa heshima kwa Watanzania

    Huyo kafulila ni muhuni tu. Anarafuta umaarufu tu. Katiba si kitu cha kuletea upuuzi upuuzi.
  4. masalakolangwa

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Your problem is yourself. If you believe in that kwamba unarogwa you are totally wrong. Hebu kuwa mbunifu, kuwa busy na kazi zako na acha kujifikiria vibaya vibaya. You live only once, take the chance to live life yako, jumuika na watu wenye mtazamo tofauti, watu wenye haiba zao, penda...
  5. masalakolangwa

    Saa inakuja

    Hebu elezea nia yako hasa ya hii thread yako.
  6. masalakolangwa

    Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

    Mimi kama mimi ninaimani kabisa hatupo wenyewe tu kwenye hizi sayari zetu. Kama dunia ni sayari moja tu katika sayari nyingi sana haiwezekani tuwepo sisi tu na majini. Tukiachilia mbali vitabu vya dini, wanasayance hasa astronomers wanalijua hili vizuri sana. Kuna vitu vingi sana kuhusu uwepo wa...
  7. masalakolangwa

    Tahadhari-wizi wa ajabu Dar!

    Aiisee, hatari sana. Tutaibiwa sana
  8. masalakolangwa

    Malasyia airline!Tb Joshua amalizia utabiri

    Huyu jamaa na wengine kama yeye wanacheza na akili za watu tu hawana lolote!!!
Back
Top Bottom