Sitta tunashukuru kwa mchango wako kwenye nchi hii,maana nasikia upo bungeni toka miaka ya 1970,ni vyema ungewapisha na wengine hasa vijana nao watoe mchango wao kwa nchi hii.Binafsi nikushuruku kwa mchango wako hasa kwenye bunge la Tisa,
Kwa sasa, nakusahauri ubaki kuwa Mshauri kwa kizazi...
...Mr Magufuli porojo na hekaya zako,zimefikia ukingoni,hata wabunge wenzio wa CCM,wanakuona muongo,refer jana Idi Azzan,Mbunge Kinondoni alivyosema haliridhishwi na majibu yako..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.