Recent content by Masakata

  1. Masakata

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Sitta tunashukuru kwa mchango wako kwenye nchi hii,maana nasikia upo bungeni toka miaka ya 1970,ni vyema ungewapisha na wengine hasa vijana nao watoe mchango wao kwa nchi hii.Binafsi nikushuruku kwa mchango wako hasa kwenye bunge la Tisa, Kwa sasa, nakusahauri ubaki kuwa Mshauri kwa kizazi...
  2. Masakata

    TANESCO, Watanzania si wajinga, washeni Mitambo ya IPTL, tunataka umeme hatutaki maelezo

    Umeme shida,maji shida,huduma hospitalini mbovu,elimu nayo shida,..CCM ikirudi madarakani, kweli itabidi Watanzania tukapimwe uwezo wetu wa akili..
  3. Masakata

    Wacheza mpira wa miguu wenye majina ya ajabu

    Daudi Kufakunoga
  4. Masakata

    Msekwa amshukia Kingunge

    Hongera sana Mzee Kingunge kwa kusema kwamba"Mfalme yupo UCHI'',...Historia itakukumbuka!
  5. Masakata

    Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

    Nadhani ulitaka kuandika,kama Nyumbu wa Serengeti N/Park mkuu!
  6. Masakata

    Usahihi: Mazungumzo yanaendelea vizuri

    Safi na tunashukuru kwa taarifa iliyojitosheleza Kamanda!
  7. Masakata

    Wanawake kushirikiana na mashoga

    Jamani,ngojeni basi mwezi hata ufike Chalinze,mwee
  8. Masakata

    Prof. Mwandosya amwomba Lowassa kumuunga mkono

    ...inaonekana katika hiyo team yenu,wewe FUNGU lako ni kUBWA,maana una nguvu kweli!
  9. Masakata

    Makala ya Msaidizi wa Nyerere, Mandela mgogoro wa Burundi

    ..ni makala nzuri,tatizo ni hiyo lugha iliyotumiwa,sidhani kama wachangiaji watakuwa wengi,ila ngoja tusubiri..
  10. Masakata

    Jaji Augustino Ramadhani achukua Fomu kugombea Urais wa JMT

    ..Mh Jaji,mfumo ovu wa CCM utaweza kuubadili au wenyewe ndio utakubadilisha?..kila la kheri lakini
  11. Masakata

    Nani anamkumbuka Mzee Majambo?

    Dah,umenikumbusha mbali sana kiongozi,alikuwa pia ni kiboko ya vikojozi!!
  12. Masakata

    Yanayojiri bungeni Dodoma leo tarehe 27 Mei, 2015

    ...Mr Magufuli porojo na hekaya zako,zimefikia ukingoni,hata wabunge wenzio wa CCM,wanakuona muongo,refer jana Idi Azzan,Mbunge Kinondoni alivyosema haliridhishwi na majibu yako..
  13. Masakata

    Yanayojiri bungeni Dodoma leo tarehe 27 Mei, 2015

    ..CCM hakuna msafi!
Back
Top Bottom