Mpendwa Rais Jakaya, sijui ni Kanzu imekuiva sana! Miaka yote ya Uongozi bado hujui kuvaa Suti? Kwanza jaribu kufunga kifungo kimoja tu na sio yote au mbili kwani wewe sio mbeba mabegi wa hotel yaani bellboy, pili ukikaa fungua kifungo cha koti ili lisijae hewa koti na wewe kuonekana umejaa kama...
Mpendwa Rais Jakaya, sijui ni Kanzu imekuiva sana! Miaka yote ya Uongozi bado hujui kuvaa Suti? Kwanza jaribu kufunga kifungo kimoja tu na sio yote au mbili kwani wewe sio mbeba mabegi wa hotel yaani bellboy, pili ukikaa fungua kifungo cha koti ili lisijae hewa koti na wewe kuonekana umejaa kama...
Advocate Ole Milya ni kazi yake kumtetea mteja wake, upuuzi na ujinga wako upeleke mahakamani au na wewe mtafute Andrew Chejisenti na wewe akutetee usikimbilie kumlaumu mwanasheria wa kujitegemea ndio shamba lake zinduka na acha mapovu
Subutu! CCM ikisimamisha Lowassa na ndivyo ilivyo kwa un President 2015 ndio mwisho wa Chadema Arusha, haitapata hata kura moja achilia mbali diwani mmoja
Wewe kweli huoni alama za nyakati, yeye anakiri kwa sababu kwanza anajiamini pili ni teyari ni baba wa wote yaani ndie President wa Tanzania 2015 hutaki hama nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.