Burkina Faso na Mali kwa pamoja zimewaonya Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) kwamba wakithubutu kuvamia Nchi ya Niger ili kuwakabili Wanajeshi waliompindua Rais wa Nchi hiyo basi itakuwa ni sawa na kutangaza vita na Nchi hizo pia na hawatosita kupigana ili...
NMB,NMB,NMB, nimewaita mara3 yani huduma ya NMB MKONONI nijisajili mimi alafu nisipoitumia mnikate ela et kwa sababu situmii huduma yenu, nimejisajili ili niwe napata ujumbe wa taarifa zangu za miamala napoeka na kutoa pesa, sio wote tuna smart phone tunaweza kutumia NMB APP kwenye simu janja...
Dah pole sana ndugu kiujumla sijui mazingira unayoishi na watu wanao kuzunguka yani km una marafiki au unaishi na ndugu, nafikiri tatizo lako linahitaji zaidi kua karibu na watu yani jamii yako, unapaswa kupata muda wa kuchanganyikana na watu muongee mfurahi, penda kufanya vitu vitakavyokupa...
Kama una nia ya kutafuta mwanamke wa kuoa ndo unaweza kwenda kistaarabu ukamtongoza taratibu sabab unakua huna haraka nae mana lengo ni kumuoa ila hawa wa barabarn tu unamuita outing unampiga bia usiku mnene unaenda kula mzigo yan hat hujamwambia nakupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.