Recent content by marwa faustine

  1. marwa faustine

    Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

    jamani hivi mnyika ni mara ngapi amekuwa akisimama bungeni kutetea wananchi wake kuhusu maji na mpaka amekuwa akitishia kuandamana na wananchi wake kwenda kwa waziri wa maji na huo ndo umekuwa ungomvi mkubwa na waziri ila kikubwa hapo ni serikali ya jk kutaka kumwangusha ili isipeleke huduma kwa...
  2. marwa faustine

    CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi Ofisini!

    jaman yaani mtoa post unashida ya uelewa yaani kisu na manati ndio visambazwe mikoa yote na huku kila mkoa kunauzwa visu na mipira ya kutengenezea manati zipo tele jamani kweli una vituko mpaka basi mim nikajua bunduki kumbea visu na manati pamoja na ngui za chama ndio vifaaa hata mikoani huku...
  3. marwa faustine

    Jengo ladondoka Mwanza, mtu mmoja amefukiwa ndani ya kifusi

    ni kweli jengo hilo limedondoka na habari za kwa minika ni kua mpaka sasa mtu mmoja amesha poteza maisha na gorofa hilo ni la mfanyabiashara mmoja anaejulikana kwa jina la mongo karibu na kuku poa barabara ya nyerere
  4. marwa faustine

    Zitto amjibu Ngeleja, Asema yuko tayari kuchunguzwa na kuhojiwa na Tume ya Maadili

    kwa kweli zitto zuber kabwe umefunguka sana ila tambua mfa maji haishi kutapatapa huyo anatapatapa maana walisha zoea vya kunyonga na ngereja anajitetea tu ila hana lolote mwizi ni mwizi tu ni pesa ngapi wabunge wanapata jamani mpaka kufikia kuwa ombaomba hilo cio la kweli aende mahakamani na...
  5. marwa faustine

    Tume ya Uchaguzi yapiga marufuku Elimu kwa Umma kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya

    lazima ifanye hivyo maana ipo kwa matakwa ya rais so lazima wamsikilize maana si ndio amewapatia ulaji
  6. marwa faustine

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    bila ubishi ccm wenyewe wamekili kua sasa tsunami inakuja japo wamefanya mizengwe na fitina kupita kiasi ila nchi wataiachia tu tukomae jamani
  7. marwa faustine

    Kimenuka: Rugemalira kutiwa nguvuni ndani ya siku tatu

    hawezi kugungwa maana serikali ya ccm ameshaiweka mfukoni hvi kweli anaweza kumwandikia rais ujumbe ili asitekeleze matakwa kwa mujibu wa sheria af tusema eti atafungwa ktika nchii mwenye pesa serikal inamwogopa sana
  8. marwa faustine

    Jenista Mhagama (mb) jimbo la Peramiho afadhili vilabu vya pombe Madaba

    cku zote ccm wanatafuta wapiga kula wale ambao wako huko kwa kuwanywesha pombe sana af ndio wanaenda kupiga kula ila cha kufurahia ni kwamba cdm tuna walimu wazuri kuwafundisha tutawafata mpaka huko kuwapa darasa naimani wataelewa tu
  9. marwa faustine

    Tarime waamka

    wanatarime sio mbumbu huyu diwani alizana ataweza kuwaxhawishi amuulize mtikila alie fika tarime na kuanza kuonge na kuchonganisha alichoambulia ni mawe kichwani kule watu ni waelewa sana na ccm wajipange mwaka huu mpaka mwakani tunatka kunyakuwa viti vyote
  10. marwa faustine

    Diamond Platnumz Kufikishwa Mahakamani

    sidhani kma atafikishwa mahakamani nchi hii ukiwa na mkwanja waweza kuvunja sheria na usipelekwe popote pale maana hiyo kesi itaanza kupelelezwa mpaka miaka hata mitano
  11. marwa faustine

    Video ya Diamond alipozomewa usiku wa fiesta pale Leaders Club!

    bora azomewe amezidi ila nadhani kilichofanya azomewe ni kuvaa mavazi ya jeshi letu au ni tofauti jamani
Back
Top Bottom