Recent content by maru10guy

  1. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

    Acha uzembe kulala siyo sifa utalala kaburini ukikosa usingizi tumia kama fursa, tafuta kazi ofisi za Kijiji au mitaa wakupe kazi ya ulinzi uongeze kipato zaidi ukikosa tafuta hata kazi za viwandani omba kufanya kazi za usiku
  2. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

    Ije kwa soft copy tupate maarifa
  3. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

    Faizafoxy:unatumia nguvu kubwa kubishana na waislamu wenzako walio kataa dini ya kwel na kukubali ubatizo na vitimbwi vya kila namna wape pumzi maana kweli haijifichi,unabishana na dunguzo ambao matendo yote ya mwili Hadi mijongeo yao Ina akisi uislamu mtupu wape pumzi
  4. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Nature is cruel to men, time is cruel to women

    Maumbile ya mwanamke yanaongea zaidi katika kupokea kila kitu,, maumbile yetu kuanzia misuli tumeumbiwa kufanya kazi ili tupate Cha kutoa,,Kama huna Cha kutoa thaman yako inakuwa ya wasiwasi,,tutafute pesa wenzetu huvutiwa na tulivyo navyo tu.
  5. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

    Super market kaka namaanisha (SUPER MARKET) anza na mlimani city utapata Hadi zile za kupima achana na chupa zitakung'oa meno..
  6. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

    Ukiwa na 2000 au zaidi utaanza kunywa soda achana na vinywaji vya 600 starehe (anasa) inataka fedha.
  7. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

    Bei ya soda unazokunywa ndiyo zinakupa ladha unayotaka kinywaji kizuri hakiwekwi kwenye chupa za ovyo
  8. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Wengine huwa hatupashi viporo

    Kuna wanawake wengine unamtoa mavumbin Kama nyoka unampa kila kitu ili awe unavyotaka kikiisha changamka kinapita na washkaji zako halafu ukiamua kumuacha awape wana wa enjoy mizagamuo kakichujuka kanakurudia tena ukapige msasa.inakela Bora kila mtu awe na misimamo yake maana wanawake ni wengi...
  9. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

    Mpige mimba wataregeza tu mbona Mambo ni rahis sana siku hizi
  10. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Ni Sahihi Kutumia Nondo za 10mm Kwenye Mifereji ya Paa la "Hidden Roof"?

    Usanifu wa upauaji kisasa hauhitaji fundi njaa,,hauhitaji mbambamba katika materials hizi nyumba ni nzuri kwa muonekano lakini hazifai kuishi mosi nyingi huvuja pili hazina maisha marefu kwa sababu ya mzigo mkubwa inao ubeba juu hii hutegemea na msingi una huimara kiasi gani lakini tujifunze...
  11. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Milioni moja(1,000,000) kama kifuta jasho kwa atayenifanikishia ajira hii.

    Mtoa rushwa na mla rushwa wote ni watuhumiwa Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  12. maru10guy

    JamiiForums Tanzania Kutana na James Hobson, Injinia anayetengeza characters wa Marvels & DC Comics, video games kuwa halisia

    Huko deep sana Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom