Nakubaliana na wewe kuwa si chote kilichomo kinachopatikana lakini kumbuka kwanza kuwa kuna tofauti kubwa mno ya kiasi kilichomo kutoka kamati ya prof Mruma na kutoka Barrick/Acacia/SGS/TMAA. Kwanza inabidi kuwe na agreement kwa kilichomo regardless kama kipo kwenye mkataba au la ( This does not...
Haujui vipi kilichomo wakati Prof Mruma na team yake walifanya "Assay Analysis" ya concentrate kwenye containers. Kama hukuamini average ya 1400g/t gold ya Prof Mruma basi amini ya TMAA = ACACIA +plus ambayo ni 200g/t of gold.
Kumbukeni hii migodi tangu ianze haijawahi ku run under profit, muda wote "the mine is running under loss". Sasa kama tunategemea 50/50 ya faida tutaipata lini?
Sote tunafahamu kuwa mapato ya Serikali kutoka kwenye makinikia yanatokana na madini ambayo yameainishwa kwenye mkataba kati ya Serikali na Barrick(Acacia).
Madini yanayotambuliwa kwenye mkataba ni Gold, Silver na Copper. Lakini Report ya Prof. Mruma ilibainisha kuwa kwenye makinikia kuna...
Sidhani kama hiyo 5% ya upotevu wa madini alimanisha madini yanayozalisha na Acacia pekee. Alisema madini madini mengi zaidi ya 95% yanapotelea hapa nchini. Tuna madini mengi tu ambayo yanachimbwa na kutoroshwa kinyemela. Chukulia mfano, Tanzanite inachimbwa Tanzania lakini wanaofahamika kama...
Pamoja na kuwa report ni ya TMAA, ni vizuri kujua team iliyoenda Japan na mwandishi wa report. Katika team iliyoenda Japan kuna wabunge Wa ccm ambao hakuwa watalaam Wa madini.
Pamoja na kuwa report ni ya TMAA, ni vizuri kujua team iliyoenda Japan na mwandishi wake. Katika team iliyoenda Japan kuna wabunge Wa ccm ambao hakuwa watalaam Wa madini.
You are not an expert on metallurgical extraction/minerallogical composition of ore, otherwise you could have known already. We have something we call "Gangue Minerals", like pyrite etc which make the rest of 20 tons.
Its the right time to install a copper smelter. If according to the committee report, the stated amount of copper concentrate ranges between 100,000 and 170,000 tons per year instead of the initially purportedly tonnage of around 60,000 tons per year, then I strongly believe we have sufficient...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.