Wanaosema ACACIA wako sahihi wamewahi kujiuliza hili swali dogo?

In general, Copper Concentrate consists of major and minor elements such as Cu, Au, Ag, Fe, S, As, Sb, Bi, Pb, Zn, Ni, Hg, Al2O3, SiO2, CaO, MgO, Mo, Ni, Se, Te, F, Cl, Sn, Cd, Ge, Co, Mn, Cr.

Anzia hapa kwanza mkuu....

Chimba mwamba nyumbani kwako halafu peleka nje zikachenjuliwe upate hela,maana mwamba wowote una minerals!
Simple definition ya Rock ni natural occuring substance yenye more than one mineral!Sasa fanya hivyo kwanza ndio uje uulize hayo maswali hapa
 
Chimba mwamba nyumbani kwako halafu peleka nje zikachenjuliwe upate hela,maana mwamba wowote una minerals!
Simple definition ya Rock ni natural occuring substance yenye more than one mineral!Sasa fanya hivyo kwanza ndio uje uulize hayo maswali hapa
Taratibu ushauri huo mzuri ungewapa hao wazungu maana huko wanakotoka hiyo miamba ipo.
Naona taratibu umeanza kupoteza mwelekeo.
Hiyo post ya madini yaliyomo kwenye makinikia sijatunga nimeitoa kwenye study on viability of building copper concentrate smelter in tanzania. Na l Kuna migodi duniani hiyo copper concentrate hawana shida na copper wala gold wala silver kulingana na viwango vyao wao wanadeal na hizo remaining products ambazo kwetu tuliamua kuziita makapi ya makinikia. Platinum group metals
 
Hivi ni mimi sikuelewi unauliza nini au ni wewe hujui unachouliza?

Kule inakochimbwa gesi kuna waste products
Kwenye mashine ya kukoboa nafaka, kuna waste products
Machinjioni akichinjwa ng'ombe kuna waste products. Sasa sijui unamaanisha kwamba leo nikienda Buzwagi na jembe nikakwatua mkwatuo mmoja basi ni full madini kwa kuwa pale kuna madini tu hakuna hata vumbi?

Hivi, si ni juzi juzi tu hapa ilitolewa amri kwamba haya haya makinikia kwenye mgodi fulani yatolewe nje wananchi wachambue na kuokota watakachoona kinawafaa? Sasa mbona wasipewe kwanye kiroba kila mtu furushi kama kila kilichomo humo kina faida?
Mfano wako hauendani na uhalisia Labda kama Kuna vitu unalack ktk process ya kutengeneza makinikia.
Makinikia sio mawe ni product inayotengenezwa na mtambo maalum floatation plant. Kama unajua process ya floatation. Metals zinazofloat kwenye surface ya bubles zikiwemo gold, silver, copper na nyingine nyingi ndio hukaushwa na kutengeneza makinikia.
Hayo ya Geita sio makinikia na wala Geita hawana floatation plant for copper concentrate production ndugu.
Ugomvi unaojitokeza hapa sisi tunasema viwango vya madini zaidi ya hayo matatu vinacommercial value and need to be included in calculation of royalty. Wawekezaji pamoja na TMAA before this saga wanasema kwanza hizo valuable minerals apart from three key minerals kweli zimo ila ni kwa kiwango cha chini cha kuweza kujumuishwa katika mirabaha. Na mwekezaji anasema kwa fact hizo wao wanapoingia contract na smelters wanauza kilichochao other smelting byproducts including other minerals zitabaki kwa mchenjuaji.

Hapo ndio linaibuka suala la uzalendo, Je!!!! Ni kweli kwenye tan zaidi ya 15 hakuna chochote cha maana cha sisi kukijumuisha kwenye mrabaha na baadae kwenye kodi. Tume imesema ndio kipo Muwekezaji amesema hapana.
Sikatai kutakuwa na waste pia lkn sikubaliani na mfano wako wa kuchimba na jembe maana hata mwili wa mwanadamu una 0.229milligram of gold. Hapa tunazungumzia industrial outputs sio inputs ORE.
 
Taratibu ushauri huo mzuri ungewapa hao wazungu maana huko wanakotoka hiyo miamba ipo.
Naona taratibu umeanza kupoteza mwelekeo.
Hiyo post ya madini yaliyomo kwenye makinikia sijatunga nimeitoa kwenye study on viability of building copper concentrate smelter in tanzania. Na l Kuna migodi duniani hiyo copper concentrate hawana shida na copper wala gold wala silver kulingana na viwango vyao wao wanadeal na hizo remaining products ambazo kwetu tuliamua kuziita makapi ya makinikia. Platinum group metals
Hujaelewa hoja yangu ndio maana unapotea mwenyewe!Kama ungekuwa umeelewa usingejibu hivi!
Halafu elewa kitu kimoja,tukiondoa silver,gold na Cu kwa smelter,kinachobaki ni compound nyingine yenye hayo madini mengime!So kupata individual minerals kwenye hizo remains ni series of processing!Sasa hapo ndio akili inapotakiwa kufanya kazi,kama thamani ya kuprocess ni kubwa kuliko product unayoitafuta,unakuwa unafanya biashara gani?Ndio maana nikakwambia chimba mwamba kwako ukachenjuliwe!Hutokosa madini kabisa,utapata lakini utakuwa na hasara kubwa tu maana ulikuwa unaua nzi kwa nyundo!
 
Mkataba uende bungeni usomwe MUBASHARA, serikali ilipie hivyo vipindi vya hiyo siku, pia wawape ruhusa vyombo vyengine virushe MUBASHARA. Wanainchi tunataka tujue mbivu na mbichi za kwenye mikataba ya madini, kama watafanya hivyo, kuanzia hapo nitaamini serikali yet imeamua kufanya mambo kwa uwazi.
 
Ttzo wengine humu wanazungumza vitu ambavyo hawana ufahamu navyo!!!!!!!!! Tangu nimeingia ktk field hii ya madini sijawahi kukutana na dhahabu ghafi yenye 100%. Hapa tz ipo dhahabu mpk yenye 40% maana yake nn? Maana yake kile kipande cha dhahabu kama kilichopo kwenye Avatar yangu kikiwa na 40% ina maana 60% ni madini mengine tofauti na dhahabu. Sijui wote mnanielewa, maana yangu ni kwamba unapokuwa na gram moja ya dhahabu ghafi ndani yake kuna madini ya aina nyingi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hakuna anaebisha tunaibiwa
tunabisha hizo njia za kuwakamata sio sahihi

Kingine tunabisha ukweli wa serikali

Serkali hii hii imeongopa sana kwenye mambo meengi
Juzi tu walisema Manji muuza dawa za kulevya
leo mtu yupo huru mtaani hata kesi moja wameshindwa kufungua

hii serikali ina sifa ya kukurupuka na kuongea uwongo...

Umemaliza Mkuu.
 
You are not an expert on metallurgical extraction/minerallogical composition of ore, otherwise you could have known already. We have something we call "Gangue Minerals", like pyrite etc which make the rest of 20 tons.

Kontena moja la makinikia lina wastani wa tani 20.
Kwa jumla ya madini yaliyoma ambayo wanasema yamo yaani Copper, gold na silver japo silver zamani haikuwa wazi kwa ujumla na kwa kadilio la juu ni tani zisizozidi 5.

Kwa nini hatumuulizi huyu mtetewa hizo tani 15 ni nini?
 
Mfano wako hauendani na uhalisia Labda kama Kuna vitu unalack ktk process ya kutengeneza makinikia.
Makinikia sio mawe ni product inayotengenezwa na mtambo maalum floatation plant. Kama unajua process ya floatation. Metals zinazofloat kwenye surface ya bubles zikiwemo gold, silver, copper na nyingine nyingi ndio hukaushwa na kutengeneza makinikia.
Hayo ya Geita sio makinikia na wala Geita hawana floatation plant for copper concentrate production ndugu.
Ugomvi unaojitokeza hapa sisi tunasema viwango vya madini zaidi ya hayo matatu vinacommercial value and need to be included in calculation of royalty. Wawekezaji pamoja na TMAA before this saga wanasema kwanza hizo valuable minerals apart from three key minerals kweli zimo ila ni kwa kiwango cha chini cha kuweza kujumuishwa katika mirabaha. Na mwekezaji anasema kwa fact hizo wao wanapoingia contract na smelters wanauza kilichochao other smelting byproducts including other minerals zitabaki kwa mchenjuaji.

Hapo ndio linaibuka suala la uzalendo, Je!!!! Ni kweli kwenye tan zaidi ya 15 hakuna chochote cha maana cha sisi kukijumuisha kwenye mrabaha na baadae kwenye kodi. Tume imesema ndio kipo Muwekezaji amesema hapana.
Sikatai kutakuwa na waste pia lkn sikubaliani na mfano wako wa kuchimba na jembe maana hata mwili wa mwanadamu una 0.229milligram of gold. Hapa tunazungumzia industrial outputs sio inputs ORE.
Sasa nimekuelewa. Kwa kifupi mwekezaji anaenda kudump kitu ambacho unadhani pengine kingekuwa na faida kwetu. Sasa hapa ndio tunarudi gear namba moja baada ya kukutana na mlima: mikataba hii kwa nini inafanywa kisiasa?
 
Hujaelewa hoja yangu ndio maana unapotea mwenyewe!Kama ungekuwa umeelewa usingejibu hivi!
Halafu elewa kitu kimoja,tukiondoa silver,gold na Cu kwa smelter,kinachobaki ni compound nyingine yenye hayo madini mengime!So kupata individual minerals kwenye hizo remains ni series of processing!Sasa hapo ndio akili inapotakiwa kufanya kazi,kama thamani ya kuprocess ni kubwa kuliko product unayoitafuta,unakuwa unafanya biashara gani?Ndio maana nikakwambia chimba mwamba kwako ukachenjuliwe!Hutokosa madini kabisa,utapata lakini utakuwa na hasara kubwa tu maana ulikuwa unaua nzi kwa nyundo!
Mkuu maelezo yote sio siri yameelezwa vzr ktk official website ya acacia.
Hiyo series of operation including oxidation of Sulphur matokeo yake ni hizo product Tatu na other valuable minerals ambazo kwa kwetu tunaambiwa na mtazamo kama wako kuwa hazina thamani kihivyo lakn hakuna detailed study based on tanzania iliyokwenda Japan, China au ujerumani kwa smelter na kuthibitisha hayo technically. Kama the remaining 15tones + ni waste and worthless and we do not deserve to get even a coin from them.
Pitia zaid...
Concentrate Information
 
Mitale na midimu@ upo sahihi, watu turudi kwenye ukweli tuwache chuki za vyama tz ni yetu Sote Cdm au Ccm vitapita taifa letu litabaki milele. Tujadili kwa upana kama taifa tujenge msingi imara kwa vizazi vijavyo.
 
You are not an expert on metallurgical extraction/minerallogical composition of ore, otherwise you could have known already. We have something we call "Gangue Minerals", like pyrite etc which make the rest of 20 tons.
Yes I am asking because I am not metallurgist, you are right 100%.But you professors and your fellow metallurgists and gurus have opposite opinions. Some of your brothers and sisters in the same profession were denied access even to the smelting plant to prove if what you call "Gangue Minerals" are real "Gangue" and worthless to all parties Tanzania, Smelters and Acacia .
Tupe elimu zaidi mkuu
 
Sasa nimekuelewa. Kwa kifupi mwekezaji anaenda kudump kitu ambacho unadhani pengine kingekuwa na faida kwetu. Sasa hapa ndio tunarudi gear namba moja baada ya kukutana na mlima: mikataba hii kwa nini inafanywa kisiasa?
Hapo unakutana na kiunzi kingine. Mikataba ni siri hiyo tunakuwa incompetent kujadili kama zinatufaa au hazitufai.
Maoni ya wadau wanasema sheria imewahi kupitishwa 2015 mikataba yote ya madini na gesi iwe wazi lakni tatizo zinashindwa kuwafunga waliosign siri kabla ya 2015. That is our dilemma....
 
Mh mitale na midimu haya mambo yatakuumiza kichwa sana maana unayajua kwa juu juu sana.

Ila nikuelimishe tu kidogo Mkuu wangu...unapoambiwa labda grade ya dhahabu kwenye tani moja ya mchanga ni labda 2 (yaani 2g/t Au) ni kwamba ukichenjua hyo tani moja utapata gram 2 za dhahabu. Kinachobaki sio dhahabu ni madini menguine na mchanga ambao pia ni Madini au udongo.

Kwa hyo kama inasemekana tani 20 za makinikia zina hzo tani 5 za Madini unayosema kinachobaki baada ya hayo Madini kutolewa ni mchanga/uchafu ambao labda unaweza kuutumia kwa kujengea nk nk.
nyooooo mchangaaa tani 15 kwani sisi atuutaki kujengea
 
Nimegundua humu ndani watu wengi hawajaelewa ubishani wa hili uko wapi.
Kila mtu anasema tunaibiwa,
Kila mtu anasema Raisi mapamabano yake ni sahihi.
Ubishani unakuja, tumefikaje hapo? Serikali ya CCM waliingia Mikataba mibovu, Wabunge wa CCM walipitisha sheria za Madini na Gesi mbovu, Mikataba inasema Mchanga ni Mali ya Mwekezaji, Sheria inasema hivyohivyo. Sasa hebu Onyesha aliyempinga Raisi hapo ni nani? hayo ya kusema Contena sijui lina tani sijuo nini yote sawa, nani karuhusu?
 
Nimegundua humu ndani watu wengi hawajaelewa ubishani wa hili uko wapi.
Kila mtu anasema tunaibiwa,
Kila mtu anasema Raisi mapamabano yake ni sahihi.
Ubishani unakuja, tumefikaje hapo? Serikali ya CCM waliingia Mikataba mibovu, Wabunge wa CCM walipitisha sheria za Madini na Gesi mbovu, Mikataba inasema Mchanga ni Mali ya Mwekezaji, Sheria inasema hivyohivyo. Sasa hebu Onyesha aliyempinga Raisi hapo ni nani? hayo ya kusema Contena sijui lina tani sijuo nini yote sawa, nani karuhusu?
Maneno haya yanamaana sana baada ya kuisikia tume ya wachumi na wanasheria. Ila sasa mkuu tunajadili hiyo ya kwanza
 
Back
Top Bottom