Recent content by Markyoka

  1. M

    Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

    Pale Musoma Technical School nmekumbuka mbali.. Mnyama Physics Hapana chezea
  2. M

    Joyce Kiria ameachana na mumewe?

    Henry Kilewo mme wake sahv yuko Kimya sana pia hata siasa hapost tena kulikoni?
  3. M

    Star Tv imepotea hewani?

    Wamerudi hewani na sauti ipo
  4. M

    Jesca Kishoa Kafulila: Rais anatumbua Vipele,Majipu Bado Hajagusa Kabisa

    Kwani hujaona Jesca Kishoa Kafulila kwenye hiyo post au jina gani unataka?
  5. M

    Lini Tundu Lissu ataacha kutafuta sifa na kuwa Mzalendo wa kweli?

    Kajifunze kwanz kuandika kiswahili ndio uje
  6. M

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mshahara wangu uko benki kwenu mwajiri kaniandikia barua mniwekee mshahara tangu alhamis hadi leo sijaupata tatizo ni nini? Au inachukua siku ngapi?
  7. M

    Mgawanyo viti maalum Bunge la 11

    Ni kura za ubunge ndio zimetumika ndomana utaona CUF imepewa viti 7 wakat haikusimamisha mgombea zaidi ya kumuunga mkono yule wa UKAWA
  8. M

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Nisaidieni Salum Mwalimu matokeo yake yakoje?
  9. M

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Sasa nyie mlimpigiaje huyo dada wa Chadema wakati mnajua Mtatiro ndiye mgombea wa UKAWA? Mtatiro akishindwa wa kulaumiwa ni nyie wapiga kura na ulimbukeni wenu
  10. M

    Bodi ya mishahara kulikoni?

    Kwani ina usaili ile kazi ya muda?
Back
Top Bottom