Recent content by MARKYAO

  1. MARKYAO

    Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

    Mazingira ya utabiri na Majaliwa ni kama a planned incidence
  2. MARKYAO

    Rais Magufuli amedhihirisha tena kuwa hawezi kuongoza nchi wakati wa majanga, nachelea kusema hawezi kuongoza nchi wakati wa vita

    Wewe taahira kweli.. Mji wa Njinjo umefutwa kwa mafuriko utawala uko kimya wananchi wanataabika kupata chakula, maji na malazi wewe unaongea upupu.. Mafuriko ya Njinjo yameua wengi na kuharibu mali njingi ila huyu katili hajajigusa hata kufika kusaidia hata kwa kutoa pole.. Kama soon redcross na...
  3. MARKYAO

    Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

    Wakati mwinginenhawa Viongoxi was CCM wanatunga sana uonga nankujadaa wananchi kwa kuwachafua wasio na na doamlolote... Inakuwaje Huyo Paulina asishtaki huyo aliyekuwa anamtaka kimapenzi mahakamani kama sio upumbavu wa Polepole anaudhihirishia UMA na kumchafua huyo Gekulu?. Na pole pole ni...
  4. MARKYAO

    Ufisadi katika fedha za uchangiaji wa faini za za viongozi wa CHADEMA

    Mnajitoa fahamu sana CCM.. Janalikuja na tuhuma kwa Precision Air kwamba walikopesha chama.. Leo uharo mwingine huu.. Bora make kimya maana hamjijengi badala yake mnaonwa kuwa wapumbavu, wakora na msio na aibu hata ya fisi.. Punguzeni udhanifu wa kitaahira maana hamjielewi ndio mnachochea watu...
  5. MARKYAO

    Bollen Ngetti apatikana huko Segerea

    Ouh God of mercy! Serve us from this deadly tragedy..
  6. MARKYAO

    Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

    Natoka Matamba Njombe Ijumaa tar. 20, nitakuwa Makere - Kasulu kwa muda tarehe 24 natua Moshi kwa wasela, ndani ya Capricorn Hotel, Marangu
  7. MARKYAO

    Kasi ya Rais Magufuli yawavuruga Chadema waona ni heri muasisi mtendaji pekee mzee Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti

    Kaka usijitoe ufahamu kama huishi Tanzania.. Yanayoendelea nadhani unayajua sana na hata andiko lako ni kinyume chake.. Waachie wajinga kama Kawe Alumni na The State Agent ndo akili kama hizi zinawatosha.. Wenye uelewa na wanaofahamu hujuma zinazofanywa zikiwemo kuua, kuteka, kuhujumu kila...
  8. MARKYAO

    Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

    Bei zimepanda sana kwa mgano kaskazini no kati Sh. 7000 na 8000 Rock Hill na wengine.. SUMATRA na wadau wa huduma na haki za wasafiri watusaidie.. Na madereva wa mabasi walazimishwa wasipeleke abiria maeneo ya kwenda kuwafilisi..
  9. MARKYAO

    Wauaji wakuu wa biashara Tanzania Ni TRA na wapangisha fremu au majengo ya biashara. Serikali iwashughulikie

    Wakati mwingine network zako zinakaa sawa.. Nadahni kuna fuse zinahtaji kuwekwa sawa utakuwa mawazo mazuri hata ukiona ile rangi kijani.. Umeongea Madini matupu na hapa kuna chain ama multiplying factor inayoathiriwa na ukubwa wa kodi, kufungwa biahara na TRA pia.. Wenye Jukumu hili ni Wizara ya...
  10. MARKYAO

    Mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA umefika hatua nzuri kwa haya mambo

    You hit the born brother.. This is how great thinker need to be.. Get two bottles of Ambassador Wine from CETAWICO on my expense.. I salute you.. Waanzishe chao waache CHADEMA life uemyewe.. Ushauri wanaCCM wengi wa kimavi sana.
  11. MARKYAO

    Mwenyekiti wa mtaa Kebikiri aliyepita bila kupingwa, ajiuzulu

    Hizi ni salamu nzuru sana na nlingependeza sana iwe kwa vijiji vyote vyenye uelewa na wapambanaji was kweli.. Yafaa hawa nyumbu halisi (CCM) watiwe adabu. Huyu mwenyekiti angalao kaonesha roadmap
  12. MARKYAO

    Uingizaji wa bidhaa feki zenye ubora hafifu toka China, TBS hawalioni hili?

    Mawaziri wanaohusika na biashara, TRA, Fair Competition, TBS, baraza la Taifa la Biashara, NEMC na wengineo wanahitaji kuwajibika .. Wameacha sumu za bidhaa feki na madawa kuja watu na kuharibu mazingira kwa Kasi ya ajabu.. Kariakoo ndiko kumeoza kuanzia mavazi, vyakula, madawa, electronics na...
  13. MARKYAO

    Uonevu na Uchafu wa OCD kanda ya Ubungo, Kituo cha Gogoni

    Yawezekana sana taarifa sahihi hazipo, ila ingekuwa vizuri ukawaulizia wahusika huko ili uje na taarifa sahihi zaidi.. Uhalisia nimeuweka usahihi wake mtafute kwa kuenda na kufanya mahojiano naye..
Back
Top Bottom