Uingizaji wa bidhaa feki zenye ubora hafifu toka China, TBS hawalioni hili?

Kwa nini serikali inakubali tunaibiwa kwa kuuziwa bidhaa feki zenye viwango duni? kila mwaka unanunua kitu kile kile tunashusha thamani pesa yetu mf unanunua tv laki tatu na nusu baada ya miezi au mwaka inaharibika unarudi tena kununua nyingine wakati pesa hiyo unaweza kupata tv og na ikadumu. Pia kuna simu feki zinaaribika mic sipika betiri kuvimba enzi nokia inatamba hazikuwepo kesi kama hizi. Kuna vyombo vya muziki hapa ndipo shida zaidi unanunua vyombo vya m.100 kwaajili ya bend au kanisa kumbe amp ya yamaha uliyonunua sio yamaha kweli na watt zilizoandikwa 3000 sio ni 700 baada ya muda vinaanza kuungua drums hata uzituni siku nzima bado zitalia kama makopo. Mi nashauri serikali iruhusu bidhaa zinazokubalika kimataifa tu kuuzwa nchini kwetu na ziwe na nembo inayoonyesha kiwango cha ubora cha bidhaa unayoinunua je? ni cha kwanza cha pili au cha tatu ili mnunuaji ujue. Kama ni simu wanaweza kuruhusu kampuni kama nokia htc huawei iphone motorola hata kama zitafika kampuni 100 lakini ni zile zinazokubalika kimataifa kwa ubora na sio zile zinazoletwa kwa majaribio afrika ambazo hata kiwanda hakijulikani kilipo. Hivyo hivyo kwenye tv kwenye vyombo muziki na vifaa vingine vya kieletroniki tbs watakachofanya ni kwenda kukangua tu je hiki kifaa ni cha sony kweli kama tfda walivyokuwa wanafanya kwenye dawa, uone kama bidhaa feki hazijapotea kwenye soko kama mifuko ya pilastiki.
 
Kwa nini serikali inakubali tunaibiwa kwa kuuziwa bidhaa feki zenye viwango duni? kila mwaka unanunua kitu kile kile tunashusha thamani pesa yetu mf unanunua tv laki tatu na nusu baada ya miezi au mwaka inaharibika unarudi tena kununua nyingine wakati pesa hiyo unaweza kupata tv og na ikadumu. Pia kuna simu feki zinaaribika mic sipika betiri kuvimba enzi nokia inatamba hazikuwepo kesi kama hizi. Kuna vyombo vya muziki hapa ndipo shida zaidi unanunua vyombo vya m.100 kwaajili ya bend au kanisa kumbe amp ya yamaha uliyonunua sio yamaha kweli na watt zilizoandikwa 3000 sio ni 700 baada ya muda vinaanza kuungua drums hata uzituni siku nzima bado zitalia kama makopo. Mi nashauri serikali iruhusu bidhaa zinazokubalika kimataifa tu kuuzwa nchini kwetu na ziwe na nembo inayoonyesha kiwango cha ubora cha bidhaa unayoinunua je? ni cha kwanza cha pili au cha tatu ili mnunuaji ujue. Kama ni simu wanaweza kuruhusu kampuni kama nokia htc huawei iphone motorola hata kama zitafika kampuni 100 lakini ni zile zinazokubalika kimataifa kwa ubora na sio zile zinazoletwa kwa majaribio afrika ambazo hata kiwanda hakijulikani kilipo. Hivyo hivyo kwenye tv kwenye vyombo muziki na vifaa vingine vya kieletroniki tbs watakachofanya ni kwenda kukangua tu je hiki kifaa ni cha sony kweli kama tfda walivyokuwa wanafanya kwenye dawa, uone kama bidhaa feki hazijapotea kwenye soko kama mifuko ya pilastiki.

Mawaziri wanaohusika na biashara, TRA, Fair Competition, TBS, baraza la Taifa la Biashara, NEMC na wengineo wanahitaji kuwajibika .. Wameacha sumu za bidhaa feki na madawa kuja watu na kuharibu mazingira kwa Kasi ya ajabu.. Kariakoo ndiko kumeoza kuanzia mavazi, vyakula, madawa, electronics na vigaa vya ujenzi.. Kila kitu kiko holela na wahusika wa kuthibiti na kusimamia ubora wanakula viyoyozi maofisini.. TRA wanafurahia kukusanya kodi hawaoni madhara yanayowakumba wananchi kwa kasi.. TBS tokeni ofisini nendeni field mkawajibike.. Toeno bidhaa zote hafifu kariakoo na pia zisivuke mipaka na kuingoa nchini.. FCC fanyeni kazi na TBS na baraza la biashara kuondoa bidhaa hizi feki maana zinafifisha ushindani.. TMDA wajibikeni na NEMC mkathibiti athahari za bidhaa hafifu, feki na zinazokuwa dumped within days after purchase...viatu, nguo, nyaya, other electronics, utensils, n.k
 
Mkuu MARKYAO unanunua nguo mf kadet elf 50 ukifua mara moja tu inapauka mpaka unaona aibu kuivaa ni wakati sasa tuwaambie tbs inatosha kuuziwa bidhaa feki watanzania hatuna pesa za mchezo mchezo za kununua hizo takataka ambazo uko kwao wenyewe china hawazitumii.
 
Na wao wamekalisha makalio yao maofisini huku watu wakipata hasara za mamilioni ya $$$$$ & €€€€€€&¥¥¥¥¥
Wako huku mkuu KISIWAGA
1575113215668.png
kwenye michezo si hamna kazi.
 
Mawaziri wanaohusika na biashara, TRA, Fair Competition, TBS, baraza la Taifa la Biashara, NEMC na wengineo wanahitaji kuwajibika .. Wameacha sumu za bidhaa feki na madawa kuja watu na kuharibu mazingira kwa Kasi ya ajabu.. Kariakoo ndiko kumeoza kuanzia mavazi, vyakula, madawa, electronics na vigaa vya ujenzi.. Kila kitu kiko holela na wahusika wa kuthibiti na kusimamia ubora wanakula viyoyozi maofisini.. TRA wanafurahia kukusanya kodi hawaoni madhara yanayowakumba wananchi kwa kasi.. TBS tokeni ofisini nendeni field mkawajibike.. Toeno bidhaa zote hafifu kariakoo na pia zisivuke mipaka na kuingoa nchini.. FCC fanyeni kazi na TBS na baraza la biashara kuondoa bidhaa hizi feki maana zinafifisha ushindani.. TMDA wajibikeni na NEMC mkathibiti athahari za bidhaa hafifu, feki na zinazokuwa dumped within days after purchase...viatu, nguo, nyaya, other electronics, utensils, n.k
Yaani bidhaa zote zinazoingizwa Kariakoo pale asilimia 80 ni kama disposable tissues tu, kuanzia nguo, electronics nk., yaani ni unatumia na kutupa halafu utafute pesa ukanunue tena..
 
Halafu hata hizi flashdrive fake,battery fake za magari na pikipiki ni kweli TBS hawawezi kuzigundua huko bandarini na kuzizamisha baharini kabla hazijaja kutupiga umaskini
Kuna hizi betri feki za tiger ndio ziliua kiwanda chetu cha national, waziri anaehusika anazunguka na kiti tu ofisini huku kitambi kikipigwa na AC, washenxi kabsa...!
 
Unapimaje ubora wa kitu ambacho huna ujuzi au taaluma ya kukitengeneza?!
Unatumia standard zipi au za nani kupima ubora wa hizo saa?! Unajuaje labda ni disposable, unatumia mara moja unatupa wewe unataka ukae nayo miaka 10.
Unajua embe bichi kwasababu uliisha liona lilo iva. Lakini kwenye technologia kila mtengenezaji ana malengo yake.
Saa ya mortima siyo lazima ifanane na rolex.
Soda ya Coca-Cola siyo lazima iwe na ladha kama soda ya Pepsi au Schweppes.
TBS mnawaonea nani kasomea kutengeneza saa au chuo kiko wapi?!
How do you establish quality control of something you don'tknow how to make or manufacture. Your quality will be based on what?! Previous experience ya vitu inakufanya udhani unavifahamu lakini sio lazima vifanane, TV za Grounding au Fuji zinaweza zisiwe sawa na za HITACH na Sony au Sumsung sasa tunapimaje quality ya kimoja dhidi ya kingine, kipi kinakuwa standard ?!

Mkuu kama hujui kitu au hujui namna gani TBS/TFDA wanatambuaje fake or substandard products kutoka viwandani ndani na nje basi ni bora ukakaa kimya au ukaulizia uelimishwe kuliko kuandika kama ulivyofanya kwani watu umewapa faida ya bure!
 
Basi kwa mantiki hii inatakiwa kupigwa marufuku importation ya items ambazo TBS hawana ujuzi nazo?
Maana wapo kwa minajil ya ku monitor ubora sasa uwepo wa fake products katika soko ni challenge kwao inayowataka watafute njia ya kudhibit because wapo kwa purpose hiyo
Kuzuia hakutasaidia mze, hao TBS wawe updated na viwango vya hizo bidhaa mpya.
 
Hao hao ukiwapa keki mbili hawawezi kujua ubora sembuse vitu vya electronics
Mnawaonea tu kwani kazi hii inahitaji wataalamu wasomi na hii Ina cost hela nyingi ambazo sidhani kama serikali iko tayari kuhudumia kikamilifu
Mambo mengi sana tutalaumu kwa ufanisi wa kazi ila tujue kila kitu kinahitaji pesa nyingi kwa kudhibiti mambo haya na mengine mengi ambayo huwa najiuliza na kuona bado tuko nyuma sana na uwezo pia
 
Exactly, waongeze ujuzi kwa wataalam wao, bidhaa mpya zinagunduliwa kila kukicha, wawe updated!

Mkuu hawa kiutaratibu wana wawakilishi nje ya inchi na kwenye inlet zote zinazoingiza mizigo kihalali hapa Tanzania hivyo wanapaswa na wanawajibika kuona kuwa kila kinachoingia sokoni ni lazima kiwe kwenye standard zinazotakiwa na ndio maana wanalipwa mshahara kwa kazi hiyo sasa kama wamezoea business as usual nawasubirie hiyo siku ikiwafikia jamaa hana la kufanya zaidi ya kupita na ma Boss kadhaa ili hao watakaobaki akili iwarudie, jambo hili sio geni kwani siku za nyuma lilishaondoka na watu kadhaa pale TBS lakini kwa vile siku zote Kenge haachi mila zake mpaka damu itoke masikioni muda utatupatia suluhisho
 
Mkuu hawa kiutaratibu wana wawakilishi nje ya inchi na kwenye inlet zote zinazoingiza mizigo kihalali hapa Tanzania hivyo wanapaswa na wanawajibika kuona kuwa kila kinachoingia sokoni ni lazima kiwe kwenye standard zinazotakiwa na ndio maana wanalipwa mshahara kwa kazi hiyo sasa kama wamezoea business as usual nawasubirie hiyo siku ikiwafikia jamaa hana la kufanya zaidi ya kupita na ma Boss kadhaa ili hao watakaobaki akili iwarudie, jambo hili sio geni kwani siku za nyuma lilishaondoka na watu kadhaa pale TBS lakini kwa vile siku zote Kenge haachi mila zake mpaka damu itoke masikioni muda utatupatia suluhisho
Basi tusubiri huruma ya JPM juu ya raia wake wanaopigwa kwa bidhaa feki ...
 
Sawa, ila mara nyingi watu huuziwa bidhaa feki kwa bei sawa na original bila hata kujua, anyway, hoja ni kwamba TBS huwa wanatumia logic ipi kuruhusu bidhaa feki na substandard kuingia na kuuzwa nchini?!
aisee umenikumbusha 2012 mwenge niliuziwa betri la simu feki bei kama orijino kukariri kuliniponza maana orijino alinitajia 5000 halafu feki akanitajia ten nikajua ten ndo lenyewe kumbe chaka mbovu
 
Awamu hii feki zimekuwa nyingi mno, Mara nyingi hufanya shopping ya mavazi yangu maduka ya sinza na maduka machache sana pale Mwenge.ila juzi nimenunua boxa pale sinza duka moja hivi kwa muonekano ni duka la maana sana ila sikuweza kuamini macho yangu baada ya kuivaa boxa ile ile naiweka sawa tu kwa mikono boxa ila ilitatuka.nilistaajabu mno nikajiuliza hawa watu wa TBS wapo kweli?
 
Awamu hii feki zimekuwa nyingi mno, Mara nyingi hufanya shopping ya mavazi yangu maduka ya sinza na maduka machache sana pale Mwenge.ila juzi nimenunua boxa pale sinza duka moja hivi kwa muonekano ni duka la maana sana ila sikuweza kuamini macho yangu baada ya kuivaa boxa ile ile naiweka sawa tu kwa mikono boxa ila ilitatuka.nilistaajabu mno nikajiuliza hawa watu wa TBS wapo kweli?
Ni tatizo kubwa pale mamlaka husika zinapoweka kipaumbele kwenye 10%
 
Back
Top Bottom