Nilijifunza kitu kidogo kuhusu wamasai baada ya kutembelea Simanjiro, hawa jamaa tofauti na tunavyowadhania kuwa wanakula sana nyama kumbe si kweli. Mifugo kwao ni ile sifa ya superiority tu. Hapo Simanjiro town hawana hata bucha ya kuuza nyama ya ng'ombe.
Mwaka 2012 niliwahi fanya training LHRC, Sekilojo Chambua alikuwa mwajiriwa pale LHRC na alikuwa anaendesha toyota hilux. Kwahiyo hii ajali ya juzi imempata Sekilojo kama ajali wanazozipata madereva wengine.
Kama mke pia anatakiwa kuundiwa tume kwanini hakutoa taarifa ya wasiwasi wake mara baada ya kuona nyuso mpya zinamzunguka mume wake. Nje ya hapo hizo ni siasa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.