Picha: Warangi ni warembo balaa!

Picha: Warangi ni warembo balaa!

waliitwa warangi kwa sababu ya kuzaliwa na wageni wakati wa nyuma na kutofautiana rangi na watu wa asili(weusi)hata kwenu kama kuna wachina wanajenga barabara baada ya miaka kadhaa mtakuwa na warangi.

tisha bovu mkuu!umenifurahishasana hapo mwisho
 
Mi nipo kondoa hapa sijamuona hata mmoja anayekaribia kufanana na hao.
 
tatizo lao ukikutana nae unakuta antennae hamna, imenyofolewa
 
Warangi na Wasi wakija mjini wote wanajiita Warangi. Lakini Kwa hakika warangi hasa ukiwaona hawana tofauti yeyote na wahabeshi kwasababu wote wana asili inayofanana. Wakati Fulani nilipokuwa Ethiopia niliwahi kujisahau na kufikiri kuwa niko Kondoa maana ni warangi kwisha kazi.
Basi hawa jamaa asili yao ni Saudi Arabia na sababu ya ukabila huko walisafiri kwa miaka mingi kuja kusini na wakawa wanaacha baadhi yao njiani waliokuwa wanashindwa kuendelea na safari. Walipofika maeneo ya kanda ya kati wakakuta hawakubaliliki na wenyeji waliokuwa wanaitwa Waharagwa. Hivyo wakapigwa vita sana hadi wakaamua kurudi walikotoka. Lakini walipofika huko Saudia wakakuta kuna dini mpya na wao hawakubaliki na dini yao ya kuabudu miti na mawe na hawakukubali kuingia dini mpya ya uislamu. Mwisho wakaona bora warudi huku kwenye vita na waharagwa. Wakarudi na kupambana na mwisho wakaishi pamoja na wenyeji wao waharagwa.
 
Hizi ni toto za kihabesh...na hawa siyo warembo bali ni wazuri. Tambua urembo na uzuri ni vitu viwili tafauti.
Umewajuaje kama ni wazuri kwenye picha? Yaelekea wewe ndio unachanganya urembo na UZURI. Uzuri wa mtu uko ndani yake, kwa ayawazayo, ayafanyayo na hata ayatarajiayo. Urembo ni ule tuuonao kwa macho, na ndio unatusumbua kiasi kuna wenzetu badala ya kuoa MKE, wameoa MATAKO na sasa wanajuta.
 
Back
Top Bottom